Recent content by policarply pilato

  1. policarply pilato

    Siasa kuingizwa jeshini ni jambo la hatari, mchelea mwana kulia

    mara 100 ungepita kimya, kuliko ulichopost hapo na bado unajiita GT!
  2. policarply pilato

    Kwa nini kila mwanaume anapenda mwanamke mzuri?

    kweli mkuu, tena waache kujipa moyo kabisaaa! na wakiendelea kubisha tuu naleta picha hapa!!!
  3. policarply pilato

    N/korea Watest Kombora lililosafiri kilometer 700

    daaah! mkuu usichekeshe watu, hivi unaelewa unapoambiwa kitu kinakuwa katika projectile motion? anyway! hapo huwa wanaconsider 'time of flight' hata kama ingekuwa 1000 km, si ajabu ukaambiwa hilo kombora limesafiri kwa muda wa sekunde 40 tuu!!!
  4. policarply pilato

    N/korea Watest Kombora lililosafiri kilometer 700

    unadhani hilo kombora linafuata barabara kama mabasi yenu ya saratoga eeeh????
  5. policarply pilato

    Tabia za wanawake wa karne hii wanakera!!!

    kama haitoshi anakuja kuomba ushauri kabisaaa kwa jambo kama hili, kweli wanaume wachache sana siku hizi!!!
  6. policarply pilato

    Mmh jamani, wajawazito kwani lazima kuyaanika matumbo!?

    wakuu kumbe ndiyo huyo? si ndiyo wanamwitaga ndege john, sijui ndege nini vile? lakini mimi nahisi huyo siyo mwanamke huyo! huenda akawa msichana, mwanamke hawezi kuwa na akili kama za huyo!!
  7. policarply pilato

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    mkuu, si kila kitu utakipata kwenye katiba tuu! mind you, katiba ni frame work ya all laws (mather or fundamental laws). kwa hiyo ukitaka kufahamu protocols ni vema kusoma katiba na vitu vingine ambavyo si katiba lakini bado inaelezea nini ni nini? na kwa mazingira yapi na kwa wakati gani?
  8. policarply pilato

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    kwa seniority waziri wa ulinzi ndiyo snr kuliko waziri wa mambo ya ndani na ukitaka kujua hilo angalia cabinet baada ya waziri mkuu anayefuata ni waziri wa ulinzi wengine ndiyo wanafuata pia!!!
  9. policarply pilato

    Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    siyo kweli, baada ya PM anafuata CJ na AG hayupo hapo! kwa correction hyo tuu, otherwise your good to go!!!
Back
Top Bottom