Somoney
Member
- Apr 11, 2017
- 49
- 38
😀 😀 😀Sasa kama umeligundua hilo jaribu kila unapo mwita muonane mwambie kabisa kula huko huko.
😀 😀 😀Sasa kama umeligundua hilo jaribu kila unapo mwita muonane mwambie kabisa kula huko huko.
kama haitoshi anakuja kuomba ushauri kabisaaa kwa jambo kama hili, kweli wanaume wachache sana siku hizi!!!JF imevamiwa na vitoto vya fesibuku basi imekua tabu tu humu!
Kumbuka hapo nimesharushia hela kwenye M-PESA kama elfu 20 kama nauli lkn sehemu anayotoka anaweza kutumia elfu moja Kwa bodaboda.
Chakula tu unaanza lalamika! Ukipata wa kutaka hela ya kusuka kila wiki si ndo utagalagala kabisa!!!
Mhhh we nae kwani anakula ugali?inawezekana hajala kweli kwani ukimnunulia chakula anaacha au anakula ?
kilo ya unga 2500
Usishangae wanawake hiyo ni tabia ya kawaida, Mimi nilishashuhudia hilo miaka ya nyuma kidogo (10 iliyopita) nikiwa Deluxe club pale Mwanza mjini, Mwanamake anahitaji Samaki saa tisa Usiku na alikula akamaliza Sato mzima. Kwa hiyo ni kawaida tu usipate shida kabisa.Kwa nini baadhi ya wanawake wanatabia za ajabu Sana? Mimi Nina demu mmoja kila nikimuita tuonane anakuja kweli lakini lazima aseme hajala hata kama ni saa ngp atasema sijala dear, naomba ushauri mwanamke huyu anamatatizo gani?
Hapa mleta mada lazima anunesasa demu wako anakwambia ana njaa alafu ww unaleta thread JF, hebu kwenda ukamnunulie chakula kwanza. kama huwezi mlete sie tumnunulie magari.
usidangany vijan,sio lazm yy anunue mana pale anakuja gheto kufanyana sio kufanywa so pande zot mbil zinahusik so msituone ss n vitega uchumiMnunulie chakula ale , wanaume wa siku hizi mkoje? Kitu kidogo kama hicho unalalamika? This is amazing.
raha uumpe na hela utoe isee kaka haupo siliazKumbuka hapo nimesharushia hela kwenye M-PESA kama elfu 20 kama nauli lkn sehemu anayotoka anaweza kutumia elfu moja Kwa bodaboda.


