Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
Umefichwa wapi my?Jamani
Umefichwa wapi my?Jamani
Nipo nimejaa tele hadi namwagikia mpendwa.Umefichwa wapi my?
kimamlaka?kwani IGP anawajibika kwa nani na CDF anawajibika kwa nani?nani hana mamlaka ya maamuzi anayoyafanya?Kwa hiyo ww kwa uelewa wako huo"mkubwa" unadhan igp na cdf wako sawa kimamlaka
Ndio tatizo linapokuja,usikubali kitu bila kuonyeshwa kinasimama wapi kwenye katiba au sheria.Na hauwez kuthibitisha, mpk pale siku tz itakapoingia mzigon , tutaona km igp ndiye atakaye enda kuongoza frontline, maana iv iv naona hauwez kuelewa mkuu, mm sio MWANASIASA au mwanasheria nianze kutafuta vifungu vya katiba, km iyo biblia kna vfungu vng tu sivijui , ila nachoandika ndiyo nachojua
Umesoma katiba ya nchi gani inayosema hivyo?watu Kwa kuongea tusivyovijua hatujambo.baada ya CJ anafuata SPEAKER then CDF!!!
Ukilinganisha na Marekani utachanganya kidogo.Katiba haisemi ivo, kwa nchi inayoongozwa kikatiba mambo yote hutokana na katiba huwezi kujisemea kwa utashi wako tu.
Katiba tuliyonayo(1977 inawatambua polisi, magereza na jwtz kama majeshi, ila katiba pendekezwa( rasimu ya waryoba inawatambua magereza kwamba sio jeshi isipokua polisi na jwtz ndio majeshi tu.
Magereza wanaachwa kwa sababu hawapo kwenye Muungano, ndio maana tunaita Magereza Tanzania bara na kuna magereza Zenji(wanajitegemea).
Kwa mantiki hiyo polisi, magereza na jwtz ni majeshi ila utata unakuja kutokana na sisi kutazama mifano ya nchi zingine kama USA polisi huitwa police department sio jeshi, kitu kingine ni ile hulka ya polisi kushuka hadhi kutokana na muingiliano wake na jamii, pia mitazamo, maslahi na majukumu kupishana inachangia kudharauliana otherwise kikinuka wote wanaenda front sio magereza sio polisi wala sio jwtz wote wanasonga, sijui wale jamaa wa moto maana hata armoury hawana
Mengi hapo juu upo sahihi, isipokuwa tu unaposema TISS si Jeshi. Hapo umekosea,au haupo well informedMkuu mbona mnampatia CDF cheo ambacho si chake? Hakuna cheo kinachoitwa mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama bali kuna cheo cha amiri jeshi mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama ambae ni Rais bhasi
CDF ni mkuu wa majeshi ya Ulinzi tu yani Defense force kama jina la cheo chake hilo la usalama linapatikana wapi?
Tafuta barua ya ikulu ya uteuzi wa Mabeyo ambae ni CDF then angalia ameandikwa ni mkuu wa majeshi gani tatizo kuna kusikia kitu na kukifanya ndicho au ndio ilivyo kumbe sivyo yule ni mkuu wa majeshi ya Ulinzi tu nasema kitu ninachokifahamu
Kuhusu Tiss kuwa nayo ni moja ya usalama nayo si kweli hata kidogo Tiss ni intelligence agency kwa maana ya taasisi au idara ya kijasusi watu wanaodeal na usalama ni Police forces
DG ndie kiongozi wa ujasusi (intelligence) hii sio jeshi wala Vikosi hii ni idara au taasisi ndio maana Duniani hakuna intelligence yeyote inayoitwa Jeshi au Vikosi Intelligence zote zinaitwa Agency kwa sababu vinaweza kuingia sehemu yeyote ikiwamo Kwenye Ulinzi na Usalama na Ku operate kama civilian ndio maana leo jeshini kuna kitengo cha intelligence na pia Police kuna kitengo cha intelligence na hata sehemu yeyote mtu kutoka taasisi ya intelligence anaweza kufanya kazi lakini leo huwezi kukuta Mwanajeshi anafanya kazi Police au Police yuko jeshini rabda pawepo na missions ndo inaweza tokea mix ya namna hii
Kazi ya Intelligence ni kudeal na ku operate na vitu vyote lakini in silence way
ndio maana kiongozi wa intelligence jina lake ni Director sasa wote tunajua neno Director linasound civilian sana tofauti na IGP ,CDF
Na kama itathibitika CDF ni mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama nipo tayari kupumzika wiki mbili nipigwe ban Mod lakini CDF ni mkuu wa majeshi ya Ulinzi tu hausiki na Usalama hata kidogo
CDF hawezi kumpigia saluti mkuu wa mkoaMwisho wa Siku wote wanawapigia salute wanasiasa, akiwamo mkuu wa Mkoa.
Mkubwa ni mkuu wa jeshi la mgamboJamani Naomba mnisaidie kati ya Mkuu Wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania kwa sasa generali Mabeyo na Mkuu wa polisi nchini kwa sasa IGP Mangu ni nani mkubwa kumzidi mwenzake kikazi?
mkuu, si kila kitu utakipata kwenye katiba tuu! mind you, katiba ni frame work ya all laws (mather or fundamental laws). kwa hiyo ukitaka kufahamu protocols ni vema kusoma katiba na vitu vingine ambavyo si katiba lakini bado inaelezea nini ni nini? na kwa mazingira yapi na kwa wakati gani?Umesoma katiba ya nchi gani inayosema hivyo?watu Kwa kuongea tusivyovijua hatujambo.
Chief of Defence Forces(CDF). Au huelewi defence ni nini?Sio kweli kama police sio defence force au twende kwa kiswahili tutaelewana CDF ni kamanda wa vyombo vya ulinzi na usalama ambayo inajumuisha JW, JKT, Mgambo, TAKUKURU, USALAMA, POLICE, PRISON, FIRE na UHAMIAJI
Hapa umemaliza kila kituKatiba imempa mkuu wa majeshi (CDF) kuwa mkuu wa vyombo vyote VYA ulinzi Na Usalama Na imefafanua ifuatavyo. Ataongoza 1.Regular force 2.Reserve force 3. Volunteers Reserve Na Other displinary forces.(magereza,police,uhamiaji,TIS Zimamoto nk) Na Yeye ndio Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi Na Usalama wa Taifa. Na hili limekaa sawa kwa maana Rais ndio Amiri JESHI mkuu Na mkuu wa majeshi ndio MTENDAJI mkuu wa Amri za amiri JESHI mkuu huwezi kuwa Na Command nyingi katika Operation hao waliobakia watapokea Amri za operation kutoka kwa CDF.
Huu ni mfano hai, hakuna ubishi katika hiliJiulize wakati wa vita mfano vita ya Kagera Police walipigana? Jibu ni ndiyo na je walikuwa chini ya command ya nani? Jibu ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama. Je IGP alikuwa anapokea amri kutoka kwa nani? Jibu ni CDF. Je Police kwa nini hawakuwa na command yao? Kwa sababu huwezi kuwa na wa majeshi wawili nchi moja
Tiss ni Jeshi gani? ???Mengi hapo juu upo sahihi, isipokuwa tu unaposema TISS si Jeshi. Hapo umekosea,au haupo well informed
Lakina siku hizi tukizinguana bar tunawakalisha tu, hamna cha jw wala nini jeuri yenu inaishia lugalo tu.CDF ni mkubwa huyo IGP ni raia mkakamavu