Nchi zote dunian zinatumia nguvu nyingi kujilinda kisiasa na kiuchumi zaid.
Nchi ya marekan na ulaya zote zimekuwa zikinyonya nchi masikin na zenye uchum wa kati kwa kutengeneza monopoly ya vitu wanavyo vitengeneza nasi bila kujua tunacheza na kupenda mambo yao.
Mfano uchumi wa USA unategemea sana soko la siraha na wametumia nguvu kubwa kuzitangaza na dunia inakubali kuwa wao ndio bora na kuwafanya wawe monopoly wa siraha vita na kuuza kwa gharama kubwa sana, kuanzia ndege vifaru hata vitu vingine. Jambo hili ndilo lililopelekea mvutano kat ya mrusi na marekan maana wote wapo ktk soko moja na leo NK anaingia ktk soku hili kitu ambacho USA kinauumiza maana anajua watagawana faida inayo tokana na kuuza siraha, maana kukuwa kwa tecknologia ya vita NK kunachochea nchi nyingi kuongeza utafit ktk sector hiyo ili kupunguza gharama ya kukunua vifaa vita kutoka USA. Lakin pia kuongezeka kwa ubora wa siraha za NK kunaifanya Russia kupata soko zaid maana inaaminika yeye ndio kituvu ktk mafanikio ya NK.
Kwa hali ilivyo sasa USA awez tena kuzuia hilo maana amisha chelewa na nchi zinazo mzungua NK ikiwa China SK, Japan, na Russia wanamkingia kifua NK kwakuogopa madhara yatakayo tokea kwa kutumia siraha za maangamizi ktk zone yao.
Marekan ataendelea kubweka tuuu ili wateja wake wazid kumwamin na ijulikane uwezo anao wakifanya hivyo ili soko lisiyumbe sana ila hata tupa hata jiwe lamkono NK