Ni kweli baadhi ya changamoto zimekuwa zikijitokeza hasa vijijini...
Hizo kesi ni nyingi saana.nlkuwa naomba utaje sehemu specific ili wahusika waweze kuchukua note na kufanyia kazi
Kwa kijana na wanaume kwa ujumla kamwe usifatilie Mambo ya wanawake na usije ukasimama upande wake directly Kama Kuna conflict amekuconcern bila wewe kufanya utafiti
Wewe naye ni miongoni mwa watu wale wale ambao n halfmandated...nchi ilkotoka ndo nn Sasa ....heb focus vitu vinavyoendelea uache ushabiki usio na maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.