Recent content by poisoner

  1. P

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi wanaoomba huduma ya NaPA - Kata ya Makulu wanalipisha 40k hadi 50k

    Ase hawa watendaji wamekuwa watu wa ovyo sana ani sio huko2 nenda sehemu zingine ujionee
  2. P

    JamiiForums Tanzania VIDEOS;- Hekima, Nasaha, Busara, na Ushauri kutoka kwa Nelson Mandela

    Maneno ya busara kabisa kutoka kwa mwamba. Watu kama hawa siku izi niwakutafta na torch
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Ivi washapata dhamana hao wahadhiri wa SJUT
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    We nae ni walewale. Malecturer wengi2 mbona wamekamatwa na hawajulkani kesi zao zimefikia wapi. Huu unafia ifike sehemu watu watumie akili zao vizuri bwana
  5. P

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Rais aliyeshinda Uchaguzi kwa 98% achukiwe namna hii na waliomchagua? Kila kukicha anazidi kuchukiwa na Serikali yake wanaonekana waongo?

    Hii nchi imejaa mavichwa panzi na watu wenye matatizo ya akili saana
  6. P

    JamiiForums Tanzania Why do men lie especially in relationships?

    Mwanamke ukimwambia ukweli hawez akakuelewa so kudanganya inatufanya Tu win our game
  7. P

    JamiiForums Tanzania Hawa viongozi wetu hasa hasa wabunge ni kana kwamba kuna kitu tuliwakosea, wameamua kutukomoa Watanzania

    Hawa wabunge ni Sawa na mwanamke aliyeolewa kwenye ukoo wa matajiri matendo yao hayana utofauti
  8. P

    JamiiForums Tanzania Gym "guys" je ni njia gani unatumia kupunguza uchovu baada ya mazoezi kupata matokeo?

    Kuchapa mbususu uhakka baada ya kupumnzika inaufanya mwili kuwa mwepesi sana
  9. P

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Lakini lazima apigwe . Mjerumani anampangia mfumo ajae ajazwe nyingi za moto
  10. P

    JamiiForums Tanzania CHADEMA pumzi imekata!

    Jinga jingine linalochelewesha maendeleo hili apa
  11. P

    JamiiForums Tanzania KERO VETA kuna tatizo kubwa katika malipo ya Watumishi, hawalipi kwa wakati kabisa

    Goja waje hapa waseme changamoto ni nini japokuwa serikali ya bongo vitu vyake waga ni vya kuchelewesha ivoivo
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mtapata mrejesho

    Germany ua hao watoto😂😂
  13. P

    JamiiForums Tanzania Rais Ndaitwah: Uongozi wa Samia ni hamasa kwangu

    Punguza uchawa usio na faida
Back
Top Bottom