Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,394
- 17,769
Dr Licky Abdallah kwa sasa si mchambuzi mzuri. Anaongea badala ya kuchambua.
SpainHivi hii world cup imewahi kutoa 0 - 0
Naona watu wanapasuana sana
Lakini lazima apigwe .Ivory coast hawajakaa kinyonge, wanapambana. Saivi inaonekana timu nyingi za afrika zimeimprove.
Mkuu kwa Ujerumani hii ya leo wametepeta kama Mlenda mmoja uko huko Sumbawanga Wanaitaga Rulenzi.😎😅😅Hawa ndovu wameshauchokoza moto watajuta
😁😁Mkuu kwa Ujerumani hii ya leo wametepeta kama Mlenda mmoja uko huko Sumbawanga Wanaitaga Rulenzi.😎😅😅
Jau tu wananiangushaMkuu kwa Ujerumani hii ya leo wametepeta kama Mlenda mmoja uko huko Sumbawanga Wanaitaga Rulenzi.😎😅😅
Matokeo gani sasa si Germany 0 Ivory Coast 1😁😁
Naomba matokeo jmn
Chuma ya Ujerumani iko inakimbizwa.Chuma cha ujerumani