Kwani wanajanvi niwaulize swali ninani ana maoni kuwa baba ALIE nae ni baba take halali? Na kama utasema unajua ni nyingi maana ulie nae umesimuliwa na mama yakoooo.
Weka salama ya (v) kwa mgombea wa chadema au cut au nccr mageuzi au nrd chakuzingatia ni usiweke salama ya (x) kwa usiempenda acha kama palivyo.kumbuka kumbuka kumuwekea salama ngombe aliyeomba nafasi kama m/kiti au mjumbe
Pesa yakujishughurisha ni halal I kilain amejishughurisha na kazi gani juu ya hizo Pesa YESU alisema a site fanyakazi na aisle sasa askofu kafanya kazi gani hapo? Inabidi atujulishe kwa jibu kwenye ufafanuzi kizuri tumuelewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.