Kwanza naona Km Magufuli anajichosha izo pesa za kampeni bora angewaongezea mishahara watumishi yeye akaendelea kufanya kazi za nchi kwa aliyoyafanya miaka5 haitaji kusumbuka sioni mpinzani wakupambana nae.Wapinzani badala ya kutwambia watatufanyia nn wao wanabaki kutueleza upigwaji wao wa...
Usawa huu kweli alofanya Magufuli kuna Mtanzania wa kudanywa!! Yan wapinzani mkifkisha kura milioni 3.5 mfanye na sherehe kabisa maana vitu vilivyofanywa na Magufuli kwa Mtanzania yoyote mwenye akili timamu awez kupoteza kula yake kuwapa wapinzani tena waliotetea mabeberu hili waendelee kubeba...
Acheni mbwembwe nyie ndomlizoe vya bule sisi tunaotaka maendeleo ya hii nchi tunatamani ata katiba ibadilishwe Mr President atuongoze ata miaka 20 mbele .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ujumla hao jamaa ni vibaka wala si tatizo la madereva nitatizo la kampuni biashala imewashinda kabisa system zao mbovu nawalichokifanya wameondoa bonas zote kwa madereva nabil yote kuiludisha kwa mteja iyobei inayokuja wakat unaomba trip sio ya kweli ,mfano kwa sasa dereva akianza trip let...
Kati ya kiongozi ninaetamani kwa badae awe Rais wa nchii hii ni kijana shupavu mjasili asiyeyumbishwa Mh Makonda.Nani asiyejua kua wachaga ni bahili jamani! Km akikosea bac tajeni hapa nimchaga gani mwingine kajitoa kuwasaidia wanyonge? Twambie hapa ninani! Sasa wap Makonda alikosea km sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.