Nyumba za kupangisha, mara chche zinalipa break even ni muda mrefu sana ukizingatia uchakavu.... hizi zinatumiwa kuchukulia mikopo, au kama kipato cha mstaafu.
Akikuvuna unaenda kuimba pambio mchana na usiku, sifa ni kama chakula chake,.... anahitaji byproduct ya binadamu na sio binadamu ni kama ufuge chatu upate ngozi ya kutengenezea viatu
Take it easy, usichukulie mambo kibinafsi namna hii hatuta fika.... mtu hatakiwi kummiliki mwenzake, ni makubaliano tu ya kisheria ya kuwa pamoja ambayo yanaweza kuvunjwa na upande mmoja wapo.
Haina mbaya maana hata Jizasi kwenye ukoo wake wapo wanawake wa 4 wasioeleweka (~machangu) ndio maana akapata ujasiri wa kumtetea mwanamke aliyeletwa mbele yake kwa hukumu kwa kosa la kungonoka nje ya taratibu
Sokoni, bei ya gesi Kg 15 ni kati ya 35,000–40,000 peso za Cuba, sawa na takribani USD 100.
Hii ni mara nane ya mshahara wa mwezi mzima wa raia wa kawaida wa Cuba (ambao ni wastani wa 4,648 peso).
100/8=12.5USD hii haikafika 36K Tsh Mshahara/wastani!
Nimeishia kusoma hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.