Kwahiyo mbinguni pombe sio Haram, Kila siku unakata utepe,... mashuka si yatabadirika rangi, au mimi sijaelewa..... maana kushoto jirani yako malaika kulia makata aliye silimu ndugu katika Imani.
.
.
.
Ngoja kwanza nimalizane na maajabu ya wanderers nitarejea
Alimaanisha hakukuelewa umeuliza au umemwambia ndio maana akajibu inategemea jibu litabadilika kullingana na uhalisia wa swali!
"Leo mchana binti yangu wa form four nilimwambia, huendi kunyoa nywele?"
Theory zinasema mafanikio ya kupitiliza wanayapata watu walio zaliwa kwenye ukwasa mkubwa hasi au chanya na waliokati wataishia kwenye mafanikio ya kati ukilinganisha na kizazi kimoja kilichopita
Nyumba za kupangisha, mara chche zinalipa break even ni muda mrefu sana ukizingatia uchakavu.... hizi zinatumiwa kuchukulia mikopo, au kama kipato cha mstaafu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.