Recent content by pleo

  1. pleo

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Sokoni, bei ya gesi Kg 15 ni kati ya 35,000–40,000 peso za Cuba, sawa na takribani USD 100. Hii ni mara nane ya mshahara wa mwezi mzima wa raia wa kawaida wa Cuba (ambao ni wastani wa 4,648 peso). 100/8=12.5USD hii haikafika 36K Tsh Mshahara/wastani! Nimeishia kusoma hapa...
  2. pleo

    JamiiForums Tanzania Mfumo (software) Kusomana na NMB account

    Reverse engineer API/Key kutoka kwenye POS, machine yao itaona POS imefanya request kumbe ni app Yako!
  3. pleo

    JamiiForums Tanzania Let's be careful with people we mix our soul with

    Kuna Manzil Kila nikimweka napata gepu la siku 3-4 za kushinda beti hivyo nakubaliana na wewe ila upande wa pili ni sahihi pia wapi wanao tusafishia nyota
  4. pleo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wanufaika wa TASAF wamefikia 6,983,665

    Kwa hiyo sisi waTZ zaidi ya 10% ni maskini?
  5. pleo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea wa CCM hajaongea jipya lolote, ameshindwa kujinadi vyema

    How to lie with statistics!
  6. pleo

    JamiiForums Tanzania Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Pambana wewe John kisomo anakisimbua? Agiza screen protector china mtaji wa kawaida tu unasumbua mjini
  7. pleo

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
  8. pleo

    JamiiForums Tanzania Hivi vinywaji vina-trend siku hizi, hivi wanaume wanaruhusiwa kunywa?

    Wewe kunywa safari, yeye anywe hiyo myumbo sawa 5%
  9. pleo

    JamiiForums Tanzania Ni jambo gani ambalo kama ungelijua mapema maisha yako yangebadilika

    Pesa sio bodhaa halisi, ni kitu Cha kufikirika.
  10. pleo

    JamiiForums Tanzania Top 5 ya wasanii Bora wa muda wote WA nyimbo za dini tangia tupate tupate uhuru

    Ina maana ni Mimi pekeyake ninaye mkubali jamaa aliye imba malebo! Mchungaji Munisi alikuwa next levo 90's, shida hadhara ni ya wa 2000.
  11. pleo

    JamiiForums Tanzania Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

    Kwa hiyo wasio amini ni kama empty set with regard to ulichoandika, kwa hiyo hawana wanchokiamini hivyo hawastahili kuwa kwenye shughuli za mizimu na vinginevyo vya mfano wake!
  12. pleo

    JamiiForums Tanzania Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

    Tuanze dini ni Nini, Kisha waamini ni wapi baada ya kuzitambua Dini
  13. pleo

    JamiiForums Tanzania Bado nani sijamu UNFOLLOW Yanga?

    Kijani njano na nyeusi sema mara 2
Back
Top Bottom