Recent content by pleo

  1. pleo

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Kwahiyo mbinguni pombe sio Haram, Kila siku unakata utepe,... mashuka si yatabadirika rangi, au mimi sijaelewa..... maana kushoto jirani yako malaika kulia makata aliye silimu ndugu katika Imani. . . . Ngoja kwanza nimalizane na maajabu ya wanderers nitarejea
  2. pleo

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Ya Leo sio ya Jana, wamepata wapi jeuri ya kupishana
  3. pleo

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Pita kwa Mwamposa.
  4. pleo

    JamiiForums Tanzania Ati, "inategemea". 🤮

    Alimaanisha hakukuelewa umeuliza au umemwambia ndio maana akajibu inategemea jibu litabadilika kullingana na uhalisia wa swali! "Leo mchana binti yangu wa form four nilimwambia, huendi kunyoa nywele?"
  5. pleo

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Ngwengwe, unakunywa Pepsi 5 kama hauwezi kunywa bia Tano, baada ya kushiba wali, hayo ndio maisha yetu ya kawaida... Waswahili tunatafutia tumbo
  6. pleo

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    AIDS hauwezi kukatwa mguu, ila sijasema sio noma!
  7. pleo

    JamiiForums Tanzania Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.

    Theory zinasema mafanikio ya kupitiliza wanayapata watu walio zaliwa kwenye ukwasa mkubwa hasi au chanya na waliokati wataishia kwenye mafanikio ya kati ukilinganisha na kizazi kimoja kilichopita
  8. pleo

    JamiiForums Tanzania Wanasayansi nijuzeni hili kwa mwenye kujua

    Mkuu huko kwenu umesema wapo wengi, hebu niangalizie kama hizo taa mchana zinakuwa zinazimwa!
  9. pleo

    JamiiForums Tanzania Zanzibar watu mil 1 wabunge 50, kila mmoja mshahara Mil 500 kwa mwaka sawa na Bil 25, Dar watu Mil 7-8 wabunge 10 tu!

    Dar ina madiwani kama 55, == Mbunge wa Zenji akichangamka saana anapata udiwani bara
  10. pleo

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Vyumba 2, choo, jiko, kastoo, ka dinning room na sebule ya 14x15ft^s unahamia.
  11. pleo

    JamiiForums Tanzania Nyumba za kupanga, fremu za kisasa sio dili sasa yani kila mtu kawekeza huko

    Nyumba za kupangisha, mara chche zinalipa break even ni muda mrefu sana ukizingatia uchakavu.... hizi zinatumiwa kuchukulia mikopo, au kama kipato cha mstaafu.
  12. pleo

    JamiiForums Tanzania Wadada acheni maringo yasiyokuwa na tija

    Binti 17, wewe utakuwa unatafuta 20.... Kwahiyo hii kitu ni form four na six... Sio mbaya lakini kuliko kupiga nyeto
Back
Top Bottom