Recent content by pleo

  1. pleo

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Vyumba 2, choo, jiko, kastoo, ka dinning room na sebule ya 14x15ft^s unahamia.
  2. pleo

    JamiiForums Tanzania Nyumba za kupanga, fremu za kisasa sio dili sasa yani kila mtu kawekeza huko

    Nyumba za kupangisha, mara chche zinalipa break even ni muda mrefu sana ukizingatia uchakavu.... hizi zinatumiwa kuchukulia mikopo, au kama kipato cha mstaafu.
  3. pleo

    JamiiForums Tanzania Wadada acheni maringo yasiyokuwa na tija

    Binti 17, wewe utakuwa unatafuta 20.... Kwahiyo hii kitu ni form four na six... Sio mbaya lakini kuliko kupiga nyeto
  4. pleo

    JamiiForums Tanzania Je, binadamu ni chakula cha anayeitwa Mungu?

    Akikuvuna unaenda kuimba pambio mchana na usiku, sifa ni kama chakula chake,.... anahitaji byproduct ya binadamu na sio binadamu ni kama ufuge chatu upate ngozi ya kutengenezea viatu
  5. pleo

    JamiiForums Tanzania Nimeshtuka kusikia kuwa Wamanyema siyo kabila

    Wa manyema == wamanyema,.... ni sawa kumsema "wa singida" wasingida
  6. pleo

    JamiiForums Tanzania Ni aibu sana kijana wa kiume kujisifia kuwa unatongozana na mke wa mtu. Hizi tabia mlijifunzia wapi?

    Take it easy, usichukulie mambo kibinafsi namna hii hatuta fika.... mtu hatakiwi kummiliki mwenzake, ni makubaliano tu ya kisheria ya kuwa pamoja ambayo yanaweza kuvunjwa na upande mmoja wapo.
  7. pleo

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Jazmine Cashmere, mwigizaji wa picha za ngono aokoka

    Haina mbaya maana hata Jizasi kwenye ukoo wake wapo wanawake wa 4 wasioeleweka (~machangu) ndio maana akapata ujasiri wa kumtetea mwanamke aliyeletwa mbele yake kwa hukumu kwa kosa la kungonoka nje ya taratibu
  8. pleo

    JamiiForums Tanzania Ukweli kwa walevi wa ma-bar: Mnaishi kishamba, mnakufa kibudu kisa sifa za kijinga

    Unaweka malengo kwenye Dunia unayopita njia.... TAFUTA HELA uwe kama sisi.....
  9. pleo

    JamiiForums Tanzania Uchumi: Kama una chanzo kimoja cha mapato wewe ni maskini full stop

    Tafuta pesa nunua FDR,.... Nguvu nyingi awali akili nyingi baadae
  10. pleo

    JamiiForums Tanzania Hakuna hela rahisi, vijana tupige kazi

    Palilia, usishinde online!
  11. pleo

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Mambo ni mengi, Kuna aerodynamics......
  12. pleo

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Sokoni, bei ya gesi Kg 15 ni kati ya 35,000–40,000 peso za Cuba, sawa na takribani USD 100. Hii ni mara nane ya mshahara wa mwezi mzima wa raia wa kawaida wa Cuba (ambao ni wastani wa 4,648 peso). 100/8=12.5USD hii haikafika 36K Tsh Mshahara/wastani! Nimeishia kusoma hapa...
Back
Top Bottom