Sokoni, bei ya gesi Kg 15 ni kati ya 35,000–40,000 peso za Cuba, sawa na takribani USD 100.
Hii ni mara nane ya mshahara wa mwezi mzima wa raia wa kawaida wa Cuba (ambao ni wastani wa 4,648 peso).
100/8=12.5USD hii haikafika 36K Tsh Mshahara/wastani!
Nimeishia kusoma hapa...
Kuna Manzil Kila nikimweka napata gepu la siku 3-4 za kushinda beti hivyo nakubaliana na wewe ila upande wa pili ni sahihi pia wapi wanao tusafishia nyota
Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
Kwa hiyo wasio amini ni kama empty set with regard to ulichoandika, kwa hiyo hawana wanchokiamini hivyo hawastahili kuwa kwenye shughuli za mizimu na vinginevyo vya mfano wake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.