Recent content by Platos

  1. Platos

    PostGE2025 Nchimbi: Hivi ndivyo waziri mkuu anatakiwa kuwa sio unakuwa dhaifu dhaifu

    Sure. Huwezi kumwambia mtu ndivyo fulani anavyopaswa kuwa...maana yake kuna ombwe SEHEMU
  2. Platos

    Machimbo ya bata mikoani kwa mnaosafiri leo

    Singida umetuacha hewani mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Platos

    Spika Tulia kila kitu hujui ni bora ujiuzulu

    Hiyo Trab na Trat waziri mwenyewe alishindwa kuilezea ndani ya bunge
  4. Platos

    Wasafi Media bado inawahitaji Jonijoo na Mtiga Abdallah

    Hakuna tatizo hapa. Kama kazi inafanyika vizuri sioni shida iko wapi kwasababu kazini pia huwa inatokea unapokuwa na majukumu ya ziada lazima ulipwe kwa majukumu hayo. Na kuna watangazaji wengi ambao pia ni producers wa show zao na wala sio tatizo. Na kwa kukusaidia, anayeandika jambo ndio ana...
  5. Platos

    Wasafi Media bado inawahitaji Jonijoo na Mtiga Abdallah

    Ndugu mwandishi wa huu uzi sidhani kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa Wasafi media. Ndio nasema kwamba wewe sio mfuatiliaji kwasababu zifuatazo: 1. Kwanza inaonekana unazungumzia hisia binafsi na maoni tu ya kwako binafsi na wala sio kwamba unawasemea watu wote. 2. Block 89 unayoizungumzia kuwa...
  6. Platos

    CEO BARBARA MPISHE MAGORI,HAMIA MARKETING

    Naomba unisaidie kazi za CEO tafadhali. Maana unadhani CEO ndio anasajili wachezaji
  7. Platos

    Salamu kwa uongozi wa Simba

    Gomes Da Rosa hakuwa na vyeti stahiki vya kumbakisha Simba hasa kwa michuano ya Afrika
  8. Platos

    Makosa yaliyowagharimu Simba leo Agosti 13, 2022

    Mimi nimeangalia mchezo lakini sijaona kosa lolote la Beno. Hakuna kosa la kipa hata moja. Sheria ya ulinzi ni mabeki wakabe mtu asipige, akipiga na kama hajakulenga kwa size ya goli basi asilimia ya kufungwa inakuwa kubwa. Kaka unazungumzia kiwango cha Beno kivipi?
  9. Platos

    Kwanini Rais Biden kwa mara ya pili hakutani na Rais Samia?

    Unajua hasa lengo la ziara ya Rais wako Marekani? Unajua kafuata nini? Unajua atakutana na kuzungumza na kina nani na kuhusu nini? [emoji23][emoji23] Unadhani ni rahisi tu kuonana na Biden, la hasha. Ana ratiba zake na tena ngumu tu kulisimamia taifa lake. Hii kuonana na Kamala Harris ni...
  10. Platos

    Kiingereza cha Rais Samia

    Hoja ya lugha ni ya kipumbavu sana kujadiliwa. Sijui nani kawaambia lugha (hasa kiingereza) ndio kila kitu? English sio lugha yake na hata hivyo huwezi tegemea perfection kutoka kwake kwa lugha isiyokuwa yake. Ni jambo la kawaida sana, na kama hujui ni kwamba Spain, Portugal, German, China...
  11. Platos

    Nani ameleta wazo la kununua nguzo za umeme nje ya nchi? Ni January Makamba?

    Yanayodhalisha ndio nini? [emoji23][emoji23]
  12. Platos

    Lema waombe radhi Diaspora na DW-Swahili

    Kwanini asichukue kama haki haiombwi? Kama kitu ni chako si uchukue??
  13. Platos

    Lema waombe radhi Diaspora na DW-Swahili

    Kuna watu wanamsifia sana Lissu, namimi pia naamini kuna smartness anayo Lissu lakini kitu busara hana kabisa. Yaani uongee na Rais halafu wewe ndio utoea taarifa ya mmezungumza nini? Mi nilijua tu, kawaida ya viongozi huwa sio kutekeleza matakwa ya wanasiasia kwa amri bali kwa maridhiano...
  14. Platos

    Ripoti ya Upambanaji wa rushwa na Ufisadi kimataifa - Tanzania yang'ara

    Nimeshtuka kuona eti Tanzania yang'ara. Kwa alama hizo ni bado kazi ni kubwa sana. Badala ya kusema yang'ara ulitakiwa kusema mapambano dhidi ya rushwa yameimarika
  15. Platos

    Amejenga hii bila mkopo wa benki, ilimchukua miaka nane kumaliza

    Milioni 20 au 30. Hiyo ni pension ya mtu [emoji23]
Back
Top Bottom