Platos
Member
- Feb 21, 2013
- 38
- 32
Kuna watu wanamsifia sana Lissu, namimi pia naamini kuna smartness anayo Lissu lakini kitu busara hana kabisa. Yaani uongee na Rais halafu wewe ndio utoea taarifa ya mmezungumza nini?Ni kweli taarifa ya Lisu, ya mambo aliyoongea na Mje. Rais Samia inaonekana ni maagizo ili Rais atekeleze. Hili ndiyo tatizo la Lisu la kujikweza na kuonyesha kuwa yuko juu ya kila mtu.
Mdogo akiongea na mkubwa, ni mkubwa ndiyo anatoa taarifa ya kilichoongelewa; kinyume chake ni kuukosa adabu.
Huku ndiko kukoroga mambo kulivyo.
Mi nilijua tu, kawaida ya viongozi huwa sio kutekeleza matakwa ya wanasiasia kwa amri bali kwa maridhiano. Yaani umpe Rais maagizo halafu unakuja unasema bila masharti,jamaa kakwama sana.