Recent content by Pit brown

  1. Pit brown

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Habari JF Naamini duniani akuna kipya kwamba watu hawajakiona au kukisikia na wengine kukifanya kabisa! Nina mtaji wa laki je ni biashara gan naweza kuifanya ata kwa kuniingizia faida ya buku kwa sku...
  2. Pit brown

    Tukutane hapa kwa walioshindwa ku-root simu zao

    Mimi nataka aliefanikiwa kuroot simu ambayo ni adroid version less 6.1.... Kiufup kuroot smu kwa kutumia sm yenyew kwa version hizi mpya ni nivugumu mnoo au naweza sema aiwezkani... Mim ni chronic user wa root lkn mpaka nilipojaribu kuroot kwa kutumia pc other wise ni kupoteza muda
  3. Pit brown

    KOZI KWA WALIOSOMEA IT /ICT

    Habar wana jf Ningependa kuuuliza je ni kozi gani anaqeza kuchukua alie SOMEA IT AU ICT kwa level ya chuo kikuuuu
  4. Pit brown

    WLE WAPENZI WA MOVIE TUKUTANE HAPA

    Habari wana JF! Kuna hili lakulifahamu tunajua wote ni namna gani tunapata tabu kutafuta movie kwa hara na HD TUNASIKITIKA KUONA MMILIKI WA TERRARIUM TV kuifungia app hiyo Kama mpenzi wa movie tuambie app gan nzuri kwa movie na series zote
  5. Pit brown

    NI KWELI SAMSUNG NOT 4 KUNA TATIZO LA USSD/MMI KWA

    Habari wanajamvi nimekuwa mtumiaji saana wa samsung lakin smu nyingi za samsung note 4 nilizokutana nazo zna tatizo la USSD CODE.... MOJA WAPO NI HII NINAYOTUMIA YAAN SIWEZ INGIA MENU YA TIGO PESA AU MPESA MWENYE UJUZI ZAIDI ANISAIDIE SHUKRANI Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Pit brown

    Tukutane hapa kwa walioshindwa ku-root simu zao

    Picha inajieleza mkuu! Ni kwamba kuanzia device zenye adroid 5.0.0 na kuendelea ni vigumu saana kuroot na ukipata root ikafanya kaz bhas kuna baadhi ya vitu avitokuwa sawa kama notification parnell.... Na smu kuwa na tatzo la kuzma na kuwaka.! Mpaka unaona nimetumia root master ujue nimetumia...
  7. Pit brown

    Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

    Alafu inaonekana kama si mwalimu wa jangwani au umesoma jangwa Jokes
  8. Pit brown

    Maiti kutia mimba inakuwaje?

    hakika mkuu
  9. Pit brown

    Maiti kutia mimba inakuwaje?

    du huy hakufa
  10. Pit brown

    Maiti kutia mimba inakuwaje?

    ndo nakumbuka lile tangazo la maralia baba aalivo mwambia mwanae "hili jambo ni lakitaalam sana mwanangu"
Back
Top Bottom