Alikua miongoni mwa wale walio kanyaga maoni ya raia,amekua mbunge zaidi ya miaka nane Haliwai kusikia Richmond alizungumza mini alisikia EPA alifanyaje wakati alikua waziri enzi hizo? Tayari magufuli kasha tuangusha mi naona Alisha waangusha watanzania na kukanyaga katiba yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.