Nimeachwa na mke!nina watoto wawili ila huyu wa pili nina mashaka kama ni wangu!mke wangu amejitahidi sana kunioneshea kuwa sina changu ila nilikuwa nampotezea sana.Ameamua kuolewa kinyemela sitaki kukamata ugoni!Sitajali akiwa na mtoto mmoja.Nahitaji mtu anayejua maisha.Samahani sitahitaji...
Poleni wadogo zangu kwani ni jambo la kusikitisha sana iwapo mtoto wa kike ataamua kujiuza kwa kupata pesa ya kujikimu kwa vile kacheleweshewa boom!Kugoma au kutumia violence kudai haki ni sawa lakini hata ukimgomea shetani unadhani atakuonea huruma?Nchi inayoongozwa na viongozi wenye huruma...
Hawa Pharmacy council na TFDA viongozi wote ni wafamasia ingawa TFDA inahusisha madaktari na wanasiasa pamoja na wataalamu wengine.Kama vile haitoshi hata MSD viongozi wake ni wafamasia!Waliogawa dawa feki hospitali za serikali ni wafamasia!(Serikali imewaajiri sana wasilete wimbo wa kufichia...
Nasikitika kusema kuwa wafamasia wetu hawajiamini,hawafanyi kazi yao ipasavyo,na wengi wameishia kuweka vyeti vyao kwenye maduka ya dawa na kuwaachia watu wasio na ujuzi kuuza dawa!Is ajabu kusikia ARVs feki zinatolewa kwa wagonjwa tena katika hospitali za umma!Leo nimesikia tena kuna vipimo...
Je umewahi kuwaita kwa majina yao wakakulazimisha uwaite doc?wanaitwa maafisa tabibu!ingawa neno tabibu kwa kiingereza ni Physician!Physician ni jina analopewa daktari bingwa aliyesoma internal medicine!Jambo nililojifunza hii wizara ya afya wamerithi sana tamaduni za kichawikichawi labda kwa...
Je umewahi kuwaita kwa majina yao wakakulazimisha uwaite doc?wanaitwa maafisa tabibu!ingawa neno tabibu kwa kiingereza ni Physician!Physician ni jina analopewa daktari bingwa aliyesoma internal medicine!Jambo nililojifunza hii wizara ya afya wamerithi sana tamaduni za kichawikichawi labda kwa...
Who's an angel?ni wakati wa watanzania kuchagua rais mwenye uthubutu wa kutumia rasilimali tulizonazo kwa manufaa ya wananchi.Mapungufu yanaweza kutokea kwa njia ya kuwajibika kutenda(commit) ama kupuuza na kutokutimiza wajibu(omission).Wengi wetu tunamuhukumu mtu kutokana na makosa aliyofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.