Nasikitika kusema kuwa wafamasia wetu hawajiamini,hawafanyi kazi yao ipasavyo,na wengi wameishia kuweka vyeti vyao kwenye maduka ya dawa na kuwaachia watu wasio na ujuzi kuuza dawa!Is ajabu kusikia ARVs feki zinatolewa kwa wagonjwa tena katika hospitali za umma!Leo nimesikia tena kuna vipimo feki vya HIV!dawa nyingi mtaani ni feki tena wao ndo wanauza!Ukiuliza TFDA wanasingizia eti wako wachache! Hawa wamekuwa miungu kwamba kazi wanataka wafanye wao tu?mbona kuna madaktari wengi mikoani hawawezi kufanya ukaguzi hadi muwepo ninyi tuu?Katika mahosipitali ya umma wapo kwa ajili ya kupiga dili za manunuzi ya dawa tu!hawana msaada kwa wagonjwa ni kama watabiri wa hali ya hewa walivyo kwa mkulima wa tz!watatwambia wanatengeneza dawa wakati dawa tunaagiza India na China!Wanahitajika kweli?