Recent content by Phite bude

  1. P

    Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

    tena mwambie aache uongo..kwel kwel...hzo namba 11 za satanic zko api hapo..aaaaakhrr.
  2. P

    Kazi jamani kazi...

    Kabisaa.
  3. P

    msaada wa vitabu.

    Kwann ndugu usiende book shop ukaulize mwenyew, kwa uhakika zaidi.
  4. P

    Njia ya kukabiliana na ugumu wa ajira

    thankx mkuu., Mi hapo ni kama umeniongezea nguvu saana.coz nlishaanza mda xana..ubarikiwe
  5. P

    Udhalilishaji: Video ya PNC akimuomba msamaha Ostaz Juma na Musoma

    Hata kwa said fela nako mambo n hvyo hvyo au???, maana hii sasa kali.
  6. P

    Nisome kozi gani ambayo inaajira kwa baadae?

    Duuh!!! cmnt nyingne ni kukatishana tamaa tu.. Kwan kuchoma nymbo kweny cd si ajira au.?
  7. P

    USHOGA nchini: Tuangaliane machoni sasa!

    Eh!! Manufaa tena, manufaa gan bwana?????
  8. P

    Hii kutoka UTUMISHI mnaionaje?

    Hapo umesema kweli mdau, haya ndio yale yale ya kuchinjiwa baharini... hata hzo ishirin atasoma chache, macho yakianza kumuuma 2 nyngne atazpotezea.
  9. P

    Matapeli wa ajira na Scam Jobs

    Akhsante mkuu kwa kunifumbua macho, maana mi ni mgeni na masuala haya na nmekua nkituma maombi ya kazi mala kwa mala.,lkn nashukuru Mungu sijakutana na hilo mm.. Ubarikiwe kwa kutujuza.
  10. P

    Ngeli ngumu aisee!!!

    Duuh..kaz ipo hapo:::
Back
Top Bottom