Ngeli ngumu aisee!!!

Ngeli ngumu aisee!!!

Kiranga, unaweza kuandika kwa Kiswahili? Mie niliacha form 2, sijafikia level hio!

Una hakika tatizo ni Kiswahili? Nisije kuandika Kiswahili ukakemea pepo wa misamiati bure!
 
Msukuma alikutana na Mhispania asiyejua Kiswahili wala Kiingereza kaja kujifunza kucheza ngoma za Kisukuma ndani ya Bujora, Msukuma akasema "Mhola?", Mhispania kusikia hivyo akafikiri Msukuma kaongea Kihispania kasema "Hola" akamjibu "Hola".

Wote wakawa wamekamilisha salamu, Msukuma kaongea Kisukuma (Mhola? = Salama?) na Mhispania kasema Kihispania (Hola = Hello)

Penye nia pana njia.

Bora kujaribu ukashindwa watu wanaweza kujua umeshindwa wapi, kuliko kutojaribu kabisa.
Umemaliza
 
Kila unapojaribu na kukosea ndio unazidi kujifunza kitu, tatizo sisi watu weusi tunapenda kuchekana badala ya kuelekezana, ukimkuta mwenye lugha yake pamoja na kuchapia hawezi kukucheka lakini anakuelewa, ni sawa wewe mwenye lugha ya kiswahili mtu akikikosea unamuelewa lakini huwezi mcheka, hii inaleta uoga hata kwa wale wenye ufahamu kidogo wanaogopa kuongea/kujaribu wanaona watakosea.

Mimi napenda kujifunza nikikosea nisahihishe hapa hapa hadharani wala sitakasirika
 
To be fair, English is mostly a smorgasbord of a potpourri of disparate and illogically disjointed Indo-European linguistic constructs.
daah, kaka hii ngeli yako hua inatuacha solemba wengi kwa kweli mbona misamiati migumu hivi. mweh? mi najua smorgasbord ni scandinavian buffet
 
To be fair, English is mostly a smorgasbord of a potpourri of disparate and illogically disjointed Indo-European linguistic constructs.
Kiranga, wengine sisis tuliishia kupruvu X is equal to Y, na mwisho tulikuwa tunamalizia kwa kusema...hence pruvdi, au shouni kama ulitakiwa kushoo... Sasa hivyo vingereza vyako ni sawa na kuniombea godi aniblasti ili a nipasi awei
 
Msukuma alikutana na Mhispania asiyejua Kiswahili wala Kiingereza kaja kujifunza kucheza ngoma za Kisukuma ndani ya Bujora, Msukuma akasema "Mhola?", Mhispania kusikia hivyo akafikiri Msukuma kaongea Kihispania kasema "Hola" akamjibu "Hola".

Wote wakawa wamekamilisha salamu, Msukuma kaongea Kisukuma (Mhola? = Salama?) na Mhispania kasema Kihispania (Hola = Hello)

Penye nia pana njia.

Bora kujaribu ukashindwa watu wanaweza kujua umeshindwa wapi, kuliko kutojaribu kabisa.

ujumbe mzuri kiranga
 
daah, kaka hii ngeli yako hua inatuacha solemba wengi kwa kweli mbona misamiati migumu hivi. mweh? mi najua smorgasbord ni scandinavian buffet

Mambo ya kawaida sana, kwetu Kiswahili kina nguvu sana tumekosa kujua hata Kiingereza cha kawaida tukikiona tunashangaa, wakija wenyewe na kutupiga Churchillian critique na Dickensian diction je?
 
Mambo ya kawaida sana, kwetu Kiswahili kina nguvu sana tumekosa kujua hata Kiingereza cha kawaida tukikiona tunashangaa, wakija wenyewe na kutupiga Churchillian critique na Dickensian diction je?
even in times of great domestic political crisis, the liberties and freedom of an individual must remain supreme above the needs of the country!
 
Kiranga, wengine sisis tuliishia kupruvu X is equal to Y, na mwisho tulikuwa tunamalizia kwa kusema...hence pruvdi, au shouni kama ulitakiwa kushoo... Sasa hivyo vingereza vyako ni sawa na kuniombea godi aniblasti ili a nipasi awei
hahaha
 
even in times of great domestic political crisis, the liberties and freedom of an individual must remain supreme above the needs of the country!

Umezibuka,

Wenzetu washajifunza hayo kitambo, kwamba hata wakati wa vita kuna haja ya kuachia individual liberties, leo sie tunataka kupangia watu sheria za nani atalala na nani na watalala vipi.

Namby pamby!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom