Njia ya kukabiliana na ugumu wa ajira

super thinker

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
370
109
Organization: Wewe mwenyewe

Position: Managing director - Mtendaji Mkuu

Mshahara: Upo katika kiwango cha kiushindani na kitatolewa katika ngazi ya upiganaji wako

Majukumu- Position responsibilities
- Kuwa na utamaduni wa kuweka akiba hata kile kidogo kabisa ukipatacho kwa kupanga budget ya matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama michango ya harusi, kuhonga na mengineyo uyajuayo wewe kwamba ni extravagancy, "usijipendelee hapa".
- Kufikiria cha kufanya (uwekezaji) kwa hata kidogo ukipatacho
- Kujituma na kuwa na utamaduni wa kuchapakazi, driven by uelewa kwamba the more you fight, the more the cashflow into the pocket.
- Kuwa na wivu wa kimaendeleo kwa wale walioendelea tayari, kuwatumia kama role models, kuwaiga na kujikaza na kufanya zaidi ya role models wako
- Kila uamkapo kuwaza jipya, kuwa na to-do list yenye kujiletea maendeleo, na ifikapo jioni kufanya evaluation ya to-do list yako, kujisuta pale ambapo mengi kwenye list yako hujayatimiza siku hiyo na kujipanga kwa to - do list ya kesho. (To-do list iwe realistic, not too or less ambitious)
- Kuachana/kukaa mbali na "kampani" potovu.
- Kuwaza lolote ambalo halijaambatanishwa hapa ambalo litakupeleka kule utakapokuwa umekulenga.
- Ever keep the fire burning, never lose hope, never get down, start NOW
- Lastly but not least, kuwa mtu mwema kulingana na dini yako, kumtanguliza MUNGU katika yote hayo hapo juu.


--------------------------------------------ALL THE BEST--------------------------------------------------
 
wazo zuri sana mkuu super thinker.

tatizo common ambalo wanalo watanzania ni kwamba hawana utamaduni wa saving hata kile kidogo walichonacho!

'' ponda mali kufa kwaja..'' hii ndio kauli mbiu ya kimasikini ya watanzania wengi!

hata hao tunaowaita wasomi wa vyuo vikuu, nao wengi tu wana elimu lakini akili wanaziacha kwenye makabati yao!

ukimwambia kuhusu saving and investment, watakwambia wewe ni miser.. they most think about girls and partying!

halafu wakishamaliza masomo yao, ndio wanaanza kukumbuka ushenzi waliofanya kipindi cha masomo yao!
 
Last edited by a moderator:
kweli excel...........mimi ninapata kidogo namshukuru mola, ila nimeanza na najua ataniongoza huyu aliye hapo juu niweze songa mbele daima
 
Great thinker.....unahitajika sana humundani.
Nimependa na ninaanza kuidanyia kazi hii fomula.
 
Duuu,,,,Great thinker ni noma,,,Binafsi umenikumbusha mengi,,,na nitajitahidi kuifanyia utekelezaji hiyo kazi! Big up mkuu
 
Haloo kitu nzuri ile mambo ya najishikiza tu hapa miaka inapta unalolote weka akiba saaaf mkuu
 
ukiweza kukifanya kipato kidogo kuwa kikubwa utaweza Ku handle kikubwa kwa nidhamu tusikate tamaaa
 
Organization: Wewe mwenyewe

Position: Managing director - Mtendaji Mkuu

Mshahara: Upo katika kiwango cha kiushindani na kitatolewa katika ngazi ya upiganaji wako

Majukumu- Position responsibilities
- Kuwa na utamaduni wa kuweka akiba hata kile kidogo kabisa ukipatacho kwa kupanga budget ya matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama michango ya harusi, kuhonga na mengineyo uyajuayo wewe kwamba ni extravagancy, "usijipendelee hapa".
- Kufikiria cha kufanya (uwekezaji) kwa hata kidogo ukipatacho
- Kujituma na kuwa na utamaduni wa kuchapakazi, driven by uelewa kwamba the more you fight, the more the cashflow into the pocket.
- Kuwa na wivu wa kimaendeleo kwa wale walioendelea tayari, kuwatumia kama role models, kuwaiga na kujikaza na kufanya zaidi ya role models wako
- Kila uamkapo kuwaza jipya, kuwa na to-do list yenye kujiletea maendeleo, na ifikapo jioni kufanya evaluation ya to-do list yako, kujisuta pale ambapo mengi kwenye list yako hujayatimiza siku hiyo na kujipanga kwa to - do list ya kesho. (To-do list iwe realistic, not too or less ambitious)
- Kuachana/kukaa mbali na "kampani" potovu.
- Kuwaza lolote ambalo halijaambatanishwa hapa ambalo litakupeleka kule utakapokuwa umekulenga.
- Ever keep the fire burning, never lose hope, never get down, start NOW
- Lastly but not least, kuwa mtu mwema kulingana na dini yako, kumtanguliza MUNGU katika yote hayo hapo juu.


--------------------------------------------ALL THE BEST--------------------------------------------------

thenkyu! Yan upo sawa mkuu na ideas zako zmeendana vzur kama za huyu jamaan anaitwa Robin Sharma..!ni mmojawapo wa authour wanaojielewa! Ktk Ktabu cha Greatness guide amesomeka poa!
 
Organization: Wewe mwenyewe

Position: Managing director - Mtendaji Mkuu

Mshahara: Upo katika kiwango cha kiushindani na kitatolewa katika ngazi ya upiganaji wako

Majukumu- Position responsibilities
- Kuwa na utamaduni wa kuweka akiba hata kile kidogo kabisa ukipatacho kwa kupanga budget ya matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama michango ya harusi, kuhonga na mengineyo uyajuayo wewe kwamba ni extravagancy, "usijipendelee hapa".
- Kufikiria cha kufanya (uwekezaji) kwa hata kidogo ukipatacho
- Kujituma na kuwa na utamaduni wa kuchapakazi, driven by uelewa kwamba the more you fight, the more the cashflow into the pocket.
- Kuwa na wivu wa kimaendeleo kwa wale walioendelea tayari, kuwatumia kama role models, kuwaiga na kujikaza na kufanya zaidi ya role models wako
- Kila uamkapo kuwaza jipya, kuwa na to-do list yenye kujiletea maendeleo, na ifikapo jioni kufanya evaluation ya to-do list yako, kujisuta pale ambapo mengi kwenye list yako hujayatimiza siku hiyo na kujipanga kwa to - do list ya kesho. (To-do list iwe realistic, not too or less ambitious)
- Kuachana/kukaa mbali na "kampani" potovu.
- Kuwaza lolote ambalo halijaambatanishwa hapa ambalo litakupeleka kule utakapokuwa umekulenga.
- Ever keep the fire burning, never lose hope, never get down, start NOW
- Lastly but not least, kuwa mtu mwema kulingana na dini yako, kumtanguliza MUNGU katika yote hayo hapo juu.


--------------------------------------------ALL THE BEST--------------------------------------------------

thankx mkuu., Mi hapo ni kama umeniongezea nguvu saana.coz nlishaanza mda xana..ubarikiwe
 
kaka hiyo nzuri sana nimeipenda mno hata mimi nilishaanza kuifanyia kazi ila tu tatizo ni hapo Organization inapougua japo kawiki tu managing director hua nalala njaa, na kamshara kanapoteaga miezi kama 2na nusu hivi na mtaji wa organization hufilisika. but in general tusikate tama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom