john moore
Member
- Nov 14, 2012
- 33
- 11
Jamani rais na viongozi wengine wa tanzania ni wapuuzi na si watanzania.
Wamesajili wateteaji ushoga tanzania
Wamesajili wateteaji ushoga tanzania
Hii ni hatari kwa kizazi chetu cha sasa kupotea na hatimaye Depopulation kuchukua nafasi yake.
Rehabilitation centers kama za watumiaji wa madawa ya kulevya zinahitajika kuweza kutoa msaada wa kubadili tabia kwa walioathirika na ushoga...
Jamani rais na viongozi wengine wa tanzania ni wapuuzi na si watanzania.
Wamesajili wateteaji ushoga tanzania
mung aliweka mbele kiken kuwa na nguv ya kujisafisha kwenyw lakin kinyeo hakiwez kujisafisha coz sio mahala pake...mbegu za kiume zina vitu vinne:acid,protns,ages na nyengne nimesahau kidogo hiv vitu vina mchango na athar zake vinapotumika vibya ikiwemo acid ndio maana hata mwanamke anapoingiliwa kinyume na maumbile anakuwa kuna muda anawashwa sana mpaka anaamua kujiingiza vidole kijichokoa ili mradi ajaikune muwasho uishee hii inasababishwa na kutoweza kwa kinyeo kutoa zile mbegu baada ya tendo kama uke unavyofanya. Mim naona hawa wanamambo matatu ya haraka harak wanayoyatak
1-kupunguza uzazi na depopulation.
2-wanataka kutengeneza africa kuwa soko la vifaa na madawa yatakayotumika na yatakayotokana na uchafu huu.
3-ni matokeo ya freemansonry na new world order.
Hofu yangu kwa utegemezi huu wa misaada tutakwepa mwisho wa siku nasi tumo. Wao wanajua fika kabisa kuwa afrika hili jambo litapata mashiko makubwa baadae na kuzidi hata ufaransa kwa sas
Tuweke kwenye katiba ndoa ni mke na mme
ha ha kila mtu ana uhuru wa kufanya yake..cha msingi serikali isi support gaysm kama ilivyo tangazwa 2011 na Mr.Misifa Membe lakini iache uhuru binafsi wa watu kufanya yao! Uliberali muhimu..kwani ukiona mtu anafanya yake we kinakuuma nini ama una washwa nini? si yeye na mungu wake ndio wanajijua? sasa??
#TeamLiberalism
1-kupunguza uzazi na depopulation.
3-ni matokeo ya freemansonry na new world order.
Tumesikia na kuona hivi karibuni kwa jirani zetu Uganda. ambapo rais wa nchi hiyo akisaini kuidhinisha kuanza kutumika kwa sheria dhidi ya matendo ya ushoga nchini humo. Ikumbukwe kwamba adhabu kali zitawaandama ikiwemo vifungo vya maisha kwa wanaojiushisha na mapenzi ya jinsia moja. Ingawa sambamba na hilo, sheria hiyo imewabana wanawake ambao uvaaji wao unakiuka maadili kwa kuwawekea vifungu vya adhabu.
Mwangwi wake umesikika dunia nzima ambapo tayari sasa nchi wahisani (wanavyopenda kujiita) wameanza kuondoa kitu kinachoitwa misaada kwa serikali ya Museveni. Waholanzi wamekenda mbali zaidi kwa kusema fedha walizoziondoa kwenye bajeti ya serikali watazielekeza kwenye taasisi zinazofanya kampeni za haki za binadamu (hasa hasa zinazotetea maslahi ya mapenzi ya jinsia moja)....
Turudi hapa nchini kwetu. Ambapo kumesikika wanaharakati wakipambana na mawazo ya jamii kuhusiana uhalali na uharamu wa mapenzi ya jinsia moja. Tayari tangu kale yameshajitokeza mashirika ambayo yameoneshwa wazi wazi na mengine kwa kificho kuunga kwao mkono kampeni hizi za kutaka kuhalalisha mapenzi hata ndoa za jinsia moja. Hapa ikumbukwe kuna ushoga na usagaji ambapo wahusika wakuu wanapiganiwa hakii zao waweze kuendesha shughuli zao wazi wazi bila kuchukuliwa hatua za kisheria na jamii isione kwamba ni kinyume na maadili.
Hebu tutazamane usoni sasa...
- Nini mantiki ya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi kulazimisha maadili yao kuwa sheria kwenye nchi zingine hususani Afrika?
- Ni kweli maisha ya mashoga na wasagaji yapo hatarini kiasi ya kutungiwa sheria ya kuwalinda?
- Kuna ukweli kiasi gani kisayansi kwamba ushoga ni tatizo la kitabia na si kijenetiki?
Kwa mtazamo wangu,
Ni kwamba mahusiano ya kingono hata kuingia kwenye ndoa za jinsia moja hatima yake ni hitimisho la mwendelezo wa kizazi. Ambapo katika mahusiano ya ndoa (tafsiri yangu) ni lazima mwenza mmoja awe na uwezo wa kutoa mbegu ambazo zinaweza kurutubishwa ktk viungo vya uzazi wa mwenza mwingine ili kutunga mimba hatimaye kizazi kuendelea kwa kupata mtoto ama watoto... Lakini mwanaume anapomaliza tamaa zake za ngono kwa mwanaume mwenzake kisha tunalazimishwa kuhalalisha uhusiano huo kama njia mojawapo ya asili katika kutendea haki hisia zetu ni wazi tunaliangamiza taifa.
Pia tujadili hizo tabia zinazopelekea uwepo na ukuaji wa wasagaji na mashoga nchini.