Kwa wale wenye nia ya kweli na wanaotaka kufanya biashara katika mazingira yenye uaminifu, kkuna mchina yuko tayari kusponsor biashara yako, isipokuwa kwa sharti moja , malipo yafanywe kwa bank, through letter of credits, utatoa deposit asilimia 30% atagharamia asilimia 70, utamlipa asilimia 8%...
Watu wanohoji mengi serikalini huwa mara zote, serikali tawala hutumia njia hizi kuwazimia nyota zao, hakuna ubaya kwa mtu kuhoji yaliyojiri, na kupendekeza jambo jipya hata kama ni mbishi kuna njia za kidiplomasia , na si kutumia nguvu kwa kila jambo, hapo ni askari wa bunge, bunge Zima, na...
Hakuna mtu anyezaliwa na kuchagua tamaduni, wenye upeo wa uchambuzi wao hujiongoza vema,lakini wale wasio na upeo yakinifu wapaswa kuelimishwa na jamii,serikali na vyombo vya habari,
Yes but you can not justfy the action of your parents(father/mother) than all men should treat you same, unajua mwanamke ukiwa independent na imani utakuwa na furaha sana, hata huyo jamaa yako wa mwisho naona kama unamvumilia tuh , lakini we binafsi ukitafutia pesa yako mwanaume hakusumbui kitu...
Wanawakeeee, kwa nini ufikirie akupatie pesa si utafute za kwako, kwani yeye ATM unabahati sana ahata jamaa anakutoa out unapotaka, mi ningejifanya mgonjwa sometimes
They surely are infidels who say that God is the third of the three
[Quran 5:73] and urged them to believe therefore in Allah and His messengers, and say not, Three (Gods)
[Quran 4:171]...
Wakati mwingine wanawake huwa wana protection measures zao, anawezakuwa anakuhisi unavutiwa na jirani au rafiki yake , aka amua kukupatia vitu ili usahau huko, au amesoma katika maandiko flani kuhusu mapenzi, hiyo isikutishe sana ni nia ya kukuweka sawa, na pia kuna siku kadhaa anapokaribia...
Tanzania inaongozwa na vilaza kwelikweli, Jambo la kushangza Nchi haina kitambulisho maalum cha Uraia, Haina Mwongozo mzuri wa kutoa Uraia, tulikaribisha wakimbizi toka Rwanda leo wako sehemu muhimu kwa taifa awe koplo au GENERAL, nI KOSA KWA RAIA WA KIGENI KUWA POST HIZO. taifa hili kweli la...
Chanzo cha fedha ni muhimu kujulikana kwanza kabla hujapokea fedha yake, you can not believe in God existence if you do not believe in existence of Devil , other wise your believe will be in vain because you will not be able to questions your faith, unquestioned faith is not faith at all but an...
I think a baby think is grown up enough now to depend on himself not parents anymore, we can not keep him locked forever inside, and if we do lets expect that at night time when we sleeping he is Jumping the wall and go out, consequence might be on we might never know who is meeting there, he...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.