Mkuu umeua!Hata mimi kuna mdada nahisi anawivu na huenda ananizimikia ila tu huwa hasemi na haishi kunifanyia visa.
Yaani kuna wakat nikimpigia simu mke wangu, huyo mdada huwa anapokea haraka haraka halafu huishia tu kusema "The subscriber you're calling is not available at present, please try again later"...