Kwanza Mara nyingi huwa wawili au zaidi. Na sababu kuu ziko kama 4 hivi
1. Hutengeneza Hali ya Utisho (Sense of Intimidation ) kwa Adui
2. Kuzuia Jua
3. Miwani myeusi humsaidia asijulikane upande anaoutazama hutajua Kama anakutazama we we
4. Kila nchi/Utawala (siyo wote) Wana installations...
Kwa Uzi huu nimeelewa kwann walisema ukitaka Kumficha Mbongo ficha kitu kwenye Kitabu! Anyway my best book is "The Measure of A Man" Martin Luther King.. The Very few Pages you'll never regret reading
Aliyeanzisha hii kitu inaitwa Haki Sawa ndo kaleta hizi shida zote.. Maana Roho zetu na Miili yetu iliumbwa ikimtambua Mwanaume juu ya Mwanamke, Tunachofanya nikupambana na Nature, Matokeo Yake mwanamke anataka afanye kila afanyacho mwanaume, na Mwanaume hayuko Tayari kuona utawala wake upo...
Sikusema watu wote hawajui mdau... nilisema ni wengi, kama humo kati ya hao wengi, sio kesi mkuu (japokuwa najua kuna baadhi ya fact hapo ulikua huzijui na umefurahi kuzijua hata kama hutakubaliana na mimi)
Wadau ukipata muda cheki hii post
1.Huongeza Kinga yako ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo kama mafua, na kikohozi kutokana na kuwa na vitamin C
2. Husafisha Mfumo wako wa chakula, kuondoa sumu mwilini na kuzuia tumbo kujaa gesi mara kwa mara
3. Huleta hewa safi kinywani. Ni Muhimu...
1. Alipouawa, mwili wake uliteketezwa kwa moto (kwa mujibu wa tamaduni zao), cha ajabu wafuasi wake wa "outlaws" walichukua majivu yake, wakachanganya na bangi na kuvuta!
2.Neno lake la mwisho kulisema kabla ya kifo chake ni neon "F*ck you!" alilomuambia askari aliyemuuliza ni nini kilikuwa...
Pole sana Kijana kwa kuonesha ni jinsi gani unamawazo mgando "always take into account all factors of the post before u reply" sio unahusisha ukabila moja kwa moja! Ukichapa kazi masaa 24 mpaka weekend utakuwa kichaa... inahitaji ujichanganye na idea mbalimbali ili ukue kiakili...:sleepy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.