Sasa wewe Makonda wewe unafanya kazi gani mbona Hatujaona mafanikio yeyote kutoka kwako ktk jiji letu huna unacho kifanya na mpaka utaondoka madarakani hutokua na ulicho fanya kikubwa ukiachilia mbali Kidogo acha kujipendekeza
Nijenge urafk kwa lipi Sina muda leo ndo nitazungumza nae nilimuacha Jana kwa kwa leo nyumbani kuna duaa ningemuanzishia Jana huenda leo asingepika chakula cha masheikh
Hii imekaaje mkeo kumleta mtu waliosoma nae mwanaume nyumbani kwako alafu unafika nyumbani anakutambulisha huyu nimesoma nae.
Kama ni wewe unalipokeaje alafu ni usiku na anmshindikiza wewe upo ndani itakua kwenye hali gani na utafanyaje.
Hivi hujui zinapo jengwa nyumba za ibada mungu analeta rehma waumini watakapo swali hivi wewe huna imani au unachuki binafsi na Islam alafu huwezi kumpangia mtu anaetaka kuku saidia msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.