Ukicheki hizi movie, hutajutia

Ukicheki hizi movie, hutajutia

yani kwa sisi bado sana, wanapayuka tu hata ile sauti kuchujwa hakuna
Hah! Umenikumbusha mkuu,kuna moja ya bongo iliniona mimi pimbi kabisa,yaani gari iliyokuwa inatoka Dar kwenda arusha ilipita kimara mara tano,tena kuna duka moja lina bango kubwa na maandishi fulani yakiishia na jina la mtaa! Hawa tupa kule
 
Kwa hapa Bongo angalia Nsyuka, In the House ya Sultan Tamba, Mzee Toboa Tobo hautajuta.
 
Mi horror movies zishanishinda yaani..sijui ndo kukua kwenyewe huko[emoji16][emoji16]
Nipe movies zote ila sio za kutishaaa...niliangalia 'ninjas assasin' mpaka kesho siitakii! Khaah damu zinaruka utasema majii..af ilikua cinema sasa..big screen! Hapana niliteseka huo usiku!
Hiyo final destination yenyewe jangaaa....
Nyie wekeni list ya love story movies na zingine nzurii nzuri..hapo sawa[emoji38][emoji38]
 
Mi napenda horror movies ila ziwe kama adventure zile, wazungu waende picnic halafu huko yatokee majanga! Zile ndio tamu dizaini ya wrong turn.
 
Asante sana mkuu, kumbe tunafanana kwa aina ya movies, alafu mimi sio mpenzi wa series ila naangalia ''the walking dead'' pekee.

Ngoja nianze kupakua kila siku mbilimbili.
yaan na mimi mule mule coz The Walking Dead nipo Season ya 5 now
Asante sana mkuu, kumbe tunafanana kwa aina ya movies, alafu mimi sio mpenzi wa series ila naangalia ''the walking dead'' pekee.

Ngoja nianze kupakua kila siku mbilimbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom