Pole chief inaonekana bado hujafikia level ya kuwa mndewa kwenye tasnia husika,
Miaka hiyo! Nikiwa bado kijana wa makamo nasoma (advance) mwanza wilaya X shule X, nilikua na desturi nikifika stend enzi hizo stend ipo nata magari yanaingia usiku nilikua naenda sehemu moja hivi inaitwa makoroboi...
😀😀😀😀😀 pombe ambazo hazina alcohol kubwa zote ni expensive, kwakua unaingia kwenye ulevi sababu ya maisha magumu huna haja ya kuiangalia kias cha alcohol we utwike tu.
Hii inadhihirisha ni kwa namna gani mechi ya yanga vs mamerodi ilikua kubwa, stories zilianza before na mpaka sasa tupo after bado mnaiongelea game hiyo hiyo.
Muandishi inaonekana ni mfuasi wa kolozidad kindakindaki na kinachowatesa ni jitihada aliyoionyesha yanga hamkutarajia.
Waliobaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.