Hapa umezungumzia manzi ambao unamahusiano nao kimapenzi ndio wanagharama sio mke kama mke nduguyang, mke ataanzia wapi kukupa gharama kama hizo unazolist hapo . Japokuwa ni kweli kwa upande wako. Ila mi naona ukiwa na mke ndio magoli zaidi gharama zinapungua zaidi maana utakua unapiga kila...
Ipo hivi, Mwenzenu katika swala hili nimeangalia clip nyingi zilizorekodiwa na watu mbalimbali na nimeshuhudia kwa macho yangu kuhusiana na mwendokasi wa bus za abiria hasa za mikoani.
Tena baadhi ya miendo, matendo na maamuzi ya madereva wa mabasi hayo yamekuwa yakijirudia.
Sasa unajiuliza...
Yani mi huwa nasemaga 'wale Watu' tu ndio huwa tunaelewa movies kali hio series acha kabisa ni nouma na inarank namba uno kwenye series zinazohusiana na drugs
Muokoe sister wa watu pengine anahitaji sana mwanaume. Msaidie bhana ye hawezi kukuanza muanze tu usiwaze. Ila jua tu siku ya kukutana tu ndio anaupata ujauzito.
Una umri gani nduguyang, je umedhamilia kweli? Kumbuka muda haurudi nyuma na usije ukafika uzeeni ukaanza kujilaumu kwann hukutumia ujana wako. Kama we ni kijana kama mimi tumia muda huu kutimiza maagizo au kuenjoy. uzeeni ndio ufanye hilo zoezi lako.
Sio kuogopa bali ni ukweli uliopo katika situation za ivo. Huwa inadaiwa kua inawezekana wakaishi vizuri lkn huwa ni pale mwanzo tu mwisho wa siku wanawake wanasahau nafasi ya mwanaume na mwanaume yoyote asipotumia opportunity mwanamke kuwa na uwezo kuliko yeye kufanya kazi vizuri na vizuri...
Bi harusi Mkubwa aliwahi niambia usije ukasumbuka na mwanamke unaempenda afu unaona kabisa anazingua, bora uoe yule anaekupenda kwa dhati kuliko unaempenda wewe. Huyu anaekupenda unaweza kujifunza kumpenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.