Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,365
- 8,631
- Thread starter
- #41
Mimi ni muumini mtiifu, kwenye jumuiya ni mweka hazina.Mleta uzi hujasema wewe Ni Nani hapo kanisani.
Padre
Muumini
Parish worker?
Mimi ni muumini mtiifu, kwenye jumuiya ni mweka hazina.Mleta uzi hujasema wewe Ni Nani hapo kanisani.
Padre
Muumini
Parish worker?
Sasa itakuwaje? Unataka kuondoa wakfu wa mtawa?Mimi ni muumini mtiifu, kwenye jumuiya ni mweka hazina.
Mkuu nyie ni Wahindi? Kama ndiyo, toeni movie mtauza sana. Anyway zingatia kile kinachokupeleka kanisaniHabari zenu wakuu;
Kuna jambo linanipa tabu kidogo, kuna sister mgeni kanisani kwetu amekuja kuungana na ma sister wengine kuendeleza utume.
Sasa kila nikikutana naye huwa kama ananipenda hivi, muda mwingine tunaangaliana kwa kuibia ibia halafu kama tunafurahi hivi.
Sijui ni nini hiki ila mimi nimempenda kweli na nauhakika anajua au hata kuhisi hivyo, sijui naanzia wapi. Kila nikimkumbuka natamani Jumapili ifike nikutane naye, nifurahi.
Wajuzi wa haya mambo naombeni uzoefu wenu.
Aliondoka Padri Dr Slaa sembuse mimi muumini?Sasa itakuwaje? Unataka kuondoa wakfu wa mtawa?
Ahsante mkuu Kwa uzalendo wa kiroho, huu ushauri ni mzuri, niko tayari kumtwaa akipata ujauzito itakuwa poa zaidi tutamalizia hatua zilizo bakia.Muokoe sister wa watu pengine anahitaji sana mwanaume. Msaidie bhana ye hawezi kukuanza muanze tu usiwaze. Ila jua tu siku ya kukutana tu ndio anaupata ujauzito.
We ni fala kweli, yaani mtu akikuangalia tayari anakupenda? Huenda anakufananisha na nyani wa nyumbani kwao, na wewe ulivyo zuzu unakenua kama huyo nyani.


Wewe Tena!Aliondoka Padri Dr Slaa sembuse mimi muumini?
AkuuMpe mwenzio

Wewe konokono na usister utauokotea wapi??



me sister wewe sema we hujui tuWewe ni sista kumbe? Mbona huna bikra hata moja, hata ya mkono tu.


wee jehanam utakua na adhabu yako special me bikraAiseeme sister wewe sema we hujui tu
Duh we noma nikajua unaenda kusali church kumbe unaenda kuangalia warembo kwel Imani ngumu sana tutafika mbinguni tumechoka sana



Mtongoze muwe wapenzi haukatae usister muoane,Habari zenu wakuu;
Kuna jambo linanipa tabu kidogo, kuna sister mgeni kanisani kwetu amekuja kuungana na ma sister wengine kuendeleza utume.
Sasa kila nikikutana naye huwa kama ananipenda hivi, muda mwingine tunaangaliana kwa kuibia ibia halafu kama tunafurahi hivi.
Sijui ni nini hiki ila mimi nimempenda kweli na nauhakika anajua au hata kuhisi hivyo, sijui naanzia wapi. Kila nikimkumbuka natamani Jumapili ifike nikutane naye, nifurahi.
Wajuzi wa haya mambo naombeni uzoefu wenu.