Mm n muhitimu ie Automobile Engineer. N course Nzur sana, Kwenye suala la michongo commitment zako tuh ila am really enjoying my professional. Huwez kufikiria kuajiriwa
Ni balaa kubwa sana kuwatoa wanafunzi Form 6 na kuwapeleka Jkt after that unamnyima mkopo kusoma chuo Kisa budget ndogo na Pia wale wanaotoka Jkt bila kupata ajira nahic n tatizo kubwa San maana mtu anaweza kupata kushawishiwa na kitu kidogo San na kujiunga na makundi yasiyosahihi.
N vyema Gvt...
Habar Wakuu
Mayai ya kuku wa Kisasa Yanapatikana kwa bei 7000/= site ( Site yetu ipo KITUNDA) ni mpya na mzigo tunazalisha Wenyewe but kwa wale wa maeneo ya Mbez beach maeneo ya karib Yanapatikana Bonden 7500/=.
Hizi bei zetu n fixed 7babu Chakula cha kuku kimepanda sana that's bei nazo zikapanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.