Recent content by PeterLugomo

  1. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    F4A6706 BP over 1.5
  2. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ixbet wanetoa depositing kwa tigo pesa tyfanyaje kudeposit
  3. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Kuna mwenye idea na course zitolewazo na OSHA

    Na ww unasubiri maelezo enh
  4. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Kuna mwenye idea na course zitolewazo na OSHA

    Kuna mwenye idea na course zitolewazo na osha, nafasi ya ajira baada ya hizo course, maeneo gan ya kufanyia kazi. Tafadhali naomba msaada
  5. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Wakili: Simba hawana haki ya kupata chochote

    Ni kaka yangu yes.
  6. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Wakili: Simba hawana haki ya kupata chochote

    Wakili msomi Geofrey Lugomo
  7. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Kuna mnaoifahamu kozi ya OSHA?

    Wadau wanauliza kama kuna mtu anaufaham na osha na zile course zake na nafasi ya upatikanaji wa ajira baada ya kusoma zile course.
  8. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Chromebook

    Habarini wakuu.. Naomba msaada wa kujua uwezo n storage hizi computer za chromebook. Kuna moja hapa nnayo ni ya acer na imekuja na lugha tofaut nmeshindwa kubadili lugha ila nmetafuta system management imesema available ni 1.9 gb.. hii saaa inafaa kwa storage kwel au mm ndio sijui. Msaada kwa...
  9. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

  10. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

  11. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kilimo cha tumbaku Chunya, mtaji na nianze na shamba la ukubwa gani?

    Mabani hayo nimeambiwa mwaka huu nimechelewa.. najipanga mwakani
  12. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kilimo cha tumbaku Chunya, mtaji na nianze na shamba la ukubwa gani?

    Asante sana kaka nimepata mwanzo. Masoko ni kuuzia makampuni tu au na serikali inanuua.
  13. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kilimo cha tumbaku Chunya, mtaji na nianze na shamba la ukubwa gani?

    Habari wakulima, mimi naomba kupata mawazo chanya juu ya kilimo cha tumbaku hasa kwa mkoa wa mbeya wilayani chunya maana nimeelekezwa huko kilimo kinakubali. Kwa wazoefu na hili zao naomba uzoefu wenu. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
  14. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Mnaionaje hii masters

    Wakuu hii masters ya monitoring and evaluation kwenye market ya ajira mnaionaje.
  15. PeterLugomo

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye uzoefu na vifaa vya saluni ya kiume

    Naombeni kujua kwa wenye uzoefu wa biashara hii ya saloon ya kiume kuanzia mtaji wa kawaida na mpaka vifaa na maingizo ya pesa.
Back
Top Bottom