Recent content by peterK2

  1. P

    Ajira Jeshi la polisi

    Nisaidie tangazo mkuu
  2. P

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Nisaidie tanganzo mkuu
  3. P

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mbona haifunguki mkuu
  4. P

    Ajira Jeshi la polisi

    Weka tangazo
  5. P

    Tanzania tunanunulia wapi/nchi gani Internet?

    Hakuna mmiliki wa internet bali kuna wamiliki wa resources za internet kama izo switch, cables, modems,routers and server
  6. P

    Hormone pills

    ina nipa shida mkuu ndo maana nime omba msaada.Kila siku chunusi haziniishi niki vaa fulana nyeupe basi nta kuwa sina confidence na makwapa yangu
  7. P

    Hormone pills

    Hakuna specific pills kwa hilo tatizo mkuu
  8. P

    Hormone pills

    Habari.Wapendwa wapi nta pata vidonge vya kubalance hormone za mwili, lengo ni kucontrol sebum production
  9. P

    Facial Oil control

    Habari wapendwa. Jana nili ingia mjini Kariakoo Mtaa wa Msimbazi katika maduka ya vipodozi kutafuta izo Moisture hapo chini ila sikufanikiwa kuzipata. Kama kuna mtu ataweza nisaidia sehemu ya kuzipataa nta furahi sana uweke na bei tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
  10. P

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    IT nayo vipi wadau [emoji275]
  11. P

    Tatizo lolote la PC/device

    Nina hp probook keyboard kuna mda ina delay ni fanye nn
  12. P

    Pc deleting my files

    Habari wapendwa..Nina pc yangu aina ya hp probook 4420s ina tatizo la kufuta files, niki jaribu kufungua file baadala ya kufungua ila ina lifuta file na kuna mda keyboard ina stuck kuna mda pia touch pad ina stuck nime jaribu kupiga window mpya ila sija ona mabadiliko.Msaada wenu ni muhimu...
Back
Top Bottom