Habari wapendwa.
Jana nili ingia mjini Kariakoo Mtaa wa Msimbazi katika maduka ya vipodozi kutafuta izo Moisture hapo chini ila sikufanikiwa kuzipata.
Kama kuna mtu ataweza nisaidia sehemu ya kuzipataa nta furahi sana uweke na bei tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wapendwa..Nina pc yangu aina ya hp probook 4420s ina tatizo la kufuta files, niki jaribu kufungua file baadala ya kufungua ila ina lifuta file na kuna mda keyboard ina stuck kuna mda pia touch pad ina stuck nime jaribu kupiga window mpya ila sija ona mabadiliko.Msaada wenu ni muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.