Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 968
- 1,243
Hii iko poa sana,ila kwa hali iliyopo sasa lolote linaweza kutokeaJaman Bcs in food science and technology iko vp kulingana na hali ilioko tz kwa sasa?
Hii iko poa sana,ila kwa hali iliyopo sasa lolote linaweza kutokeaJaman Bcs in food science and technology iko vp kulingana na hali ilioko tz kwa sasa?
vipi jamaa yako ameshapata kazi??Hizi Ni Kozi Ambazo Utasoma Ila Inategemea Unajuana Na Nani.Wengi Wasoma Hapa Udom Na Wakimaliza Wanazurura Kitaa Sana.jamaa angu ana miaka 3 hana kazi anakula ugali wa mama yake.
Wewe nenda kasome usitafute kufarijiwa hapaIT nayo vipi wadau
Jmn mbn mnatisha watoto Wa watuumewagusa watu humu fields zao ndio maana wamechukia....
hapo bora zooooote ila sio uhasibu.. wanaosoma uhasibu mnapoteza muda bure... ikifwatiwa na law... ukisoma law jitahidi kupata GPA ya maana 4 point something...chini ya hapo we utaishia kuwa hakimu wa kujitegemea
Sio kuwatisha mkuu, ni vyema kukumbushana, na hata hivyo kusoma sio lazima mtu uajiriwe, ni kuongeza tu ujuzi na ujasiri wa kuja kuyamudu maisha mtaani.Jmn mbn mnatisha watoto Wa watu
Oya mzee na corz ya BACHELOR DEGREE IN REGIONAL DEVELOPMENT PLANNING hii nayo vip mdauMnaoenda Vyuo Vikuu Mwaka Huu Kama Hutasoma Kozi Hizi Kwa Tanzania Yetu Imekula Kwako.Mnaoenda kusomea Political Science,laws,wote Mnapoteza Mda Wenu Ajira Hakuna.Kozi Hizi Ndio Marketable. Udaktari,ualimu,uhandisi Wa Aina Zote,kilimo Kwanza Tu,hatuna Shida Na Wahasibu,wanasheria Wanatosha,wasanii Wa Social Sciences Hatuna Shida Nao.
Oya mzee na corz ya BACHELOR DEGREE IN REGIONAL DEVELOPMENT PLANNING hii nayo vip mdau
Ufungue chama cha siasa
Asilimia kubwa ya watz wanasoma ili waajiriwe na serikali au sector binafsiElimu yetu haituandai kujiajiri
Madogo waliofata ushauri wako wa kwenda kusoma education mwaka 2015 wamemaliza mwaka 2018 wamekuta hakuna ajira kama ulivyowaaminisha.Hali imebadilika
Acha uongoMadogo waliofata ushauri wako wa kwenda kusoma education mwaka 2015 wamemaliza mwaka 2018 wamekuta hakuna ajira kama ulivyowaaminisha.
Madogo walioenda kusoma udakitari mwaka 2015 walimaliza 2020 wakakuta hizo ajira ulizowahubiria hazipo!
Soko linabadirika. Kozi zenye soko au zisizo na soko leo sio kwamba baada ya mwaka mmoja zitakuwa hivyo hivyo.