Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

umewagusa watu humu fields zao ndio maana wamechukia....
hapo bora zooooote ila sio uhasibu.. wanaosoma uhasibu mnapoteza muda bure... ikifwatiwa na law... ukisoma law jitahidi kupata GPA ya maana 4 point something...chini ya hapo we utaishia kuwa hakimu wa kujitegemea
Jmn mbn mnatisha watoto Wa watu
 
Mnaoenda Vyuo Vikuu Mwaka Huu Kama Hutasoma Kozi Hizi Kwa Tanzania Yetu Imekula Kwako.Mnaoenda kusomea Political Science,laws,wote Mnapoteza Mda Wenu Ajira Hakuna.Kozi Hizi Ndio Marketable. Udaktari,ualimu,uhandisi Wa Aina Zote,kilimo Kwanza Tu,hatuna Shida Na Wahasibu,wanasheria Wanatosha,wasanii Wa Social Sciences Hatuna Shida Nao.
Oya mzee na corz ya BACHELOR DEGREE IN REGIONAL DEVELOPMENT PLANNING hii nayo vip mdau
 
Elimu yetu haituandai kujiajiri
Asilimia kubwa ya watz wanasoma ili waajiriwe na serikali au sector binafsi

Ndio maana tangu serikali iache kutangaza ajira kwa miaka kadhaa Sasa kwa kada mbali mbali hapa nchini

Unasikia tu watu wakiilalamikia serikali kwa nini haitoi ajira

Sasa Kama ingekuwa elimu yetu inatuandaa tujiajiri

Kwa nini watu wanalalamika kuhusu ajira in now days?
 
Hali imebadilika
Madogo waliofata ushauri wako wa kwenda kusoma education mwaka 2015 wamemaliza mwaka 2018 wamekuta hakuna ajira kama ulivyowaaminisha.

Madogo walioenda kusoma udakitari mwaka 2015 walimaliza 2020 wakakuta hizo ajira ulizowahubiria hazipo!

Soko linabadirika. Kozi zenye soko au zisizo na soko leo sio kwamba baada ya mwaka mmoja zitakuwa hivyo hivyo.
 
Madogo waliofata ushauri wako wa kwenda kusoma education mwaka 2015 wamemaliza mwaka 2018 wamekuta hakuna ajira kama ulivyowaaminisha.

Madogo walioenda kusoma udakitari mwaka 2015 walimaliza 2020 wakakuta hizo ajira ulizowahubiria hazipo!

Soko linabadirika. Kozi zenye soko au zisizo na soko leo sio kwamba baada ya mwaka mmoja zitakuwa hivyo hivyo.
Acha uongo
 
Back
Top Bottom