Salaam, nikienda direct kwenye point nilikua nahitaji baiskeli ya kuchaji design kama hii, sio lazima iwe ivo ivo kama kwenye picha ila iwe ni ya kuchaji na unaweza ukanyonga na pedeli , nipo dar kwa anae uza au anafahamu wanapo uza anisaidie
Ni kweli Kuna Mtu kawe Kuna Mtu anaishi kawe aliniambia siku za nyuma kidogo kwamba siku hizi kawe Kuna panya wengi sana, Tena yeye alihusisha na Imani za kishirikina ila kwa sumu wanakufa vizuri tu labda ni aina ya sumu unayotumia
Be positive sio lazima Mtu afanye kazi Moja ana Kitenge tv , ana maulidkitenge .com nenda kaangalie makampuni yalio sponse Kitenge tv hayo ni baadhi tu ya yanayo fahamika ,je kama ana mashamba kijijini kwao huko analima tutajuaje
Duuh kwanza pole , ila tuongee ukweli Mtu anashika million 100 bado anashindwa kujenga hata kibanda Cha mill30, Naomba sana Mungu aniepushe na hili
"... nikapanga nyumba ya mill 10 natumia hela Hadi ziishe"
Inawezekana wameweka nguvu kubwa sana Kigoma kwa sababu ya muingiliano wake na Kongo ukiangalia Kongo ni taifa kubwa na Lina idadi kubwa sana ya watu wanao ingia Tanzania,Mfano wakimbizi
Ukilinganisha na muingiliano kati ya Kagera na Rwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.