Hizi nchi zikiungana kumpiga Iran ndani ya wiki vita itakuwa imeisha. Ili kubalance hii habari pia taja nchi ambazo zimeungana na Iran kuishambulia Israel
Hata Iran kashambulia kwa kushirikiana na nchi nyingine, Iran ni overrated. Iran alipaswa kujibu lile shambulio la Israel ila je, kwa hili Israel atakaa kimya? sidhani, tusubiri tuone.
Israel ndio alianza kushambulia ubalozi wa Iran, haya ndio majibu ya Iran akisaidiwa na nchi nyingine nne, kikubwa tunasubiri majibu ya Israel yatakuwa yapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.