Recent content by permanides

  1. P

    JamiiForums Tanzania Utafiti Wabaini Watu Wengi Wamepunguza Kufanya Mapenzi (Ngono) Licha ya Ongezeko la Uhuru wa Kingono.

    Kwani ni tatizo hadi tutafute ufumbuzi?
  2. P

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Room 3 unapaua.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kwa nini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Mpemba effect haikuwa wazo jipya. Aristotle hata kabla ya Yesu alieleza kuhusu kitu kinaitwa "antiperistasis" ambacho ni ufafanuzi wa kitaalam wa Mpemba Effect.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ninapambana mwanangu awe raisi 2030

    Dola sio mtu, ni mfumo kwa ujumla wake.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Leo nimekutana na mkasa mgumu sana kwenye maisha yangu.

    Ukiona fursa ni nzuri sana, pengine wewe ndio furaha yenyewe.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Hii inakusaidia nini wewe?
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tunakumbushana: Ukitaka Kuyaelewa Maisha yako na umuhimu wake, Tembelea Maeneo Haya Matatu. Please tusijisahau

    Usiwaze sana, haya maisha tunaishi na kuishia.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristo lakini siabudu kwenye kanisa lolote, wala dhehebu lolote, ninamwabudu Mungu katika roho na kweli.

    Kuna hoja flan, ila sio kwa ujenzi huo wa hoja. Huwezi soma injili peke yake, kuna torati, zaburi, kai za mitume n.k
  9. P

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristo lakini siabudu kwenye kanisa lolote, wala dhehebu lolote, ninamwabudu Mungu katika roho na kweli.

    Kwenye kwenyewe tumeona Yesu akienda katika sinagogi (nyumba ya ibada). Aidha, mitume na manabii walihimiza kujenga nyumba za ibada, bado huoni umuhimu wa kwenda kanisani.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Nilianza kazi na mshahara kama huo, niliishi kwa hizo posho, japo hazikuwa nyingi, huku nikilinda mshahara. Niliishi katika hali ya kawaida kabisa, na niliweza kufanya uwekezaji kwa kiasi chake. Labda tofauti ni kuwa, mimi nilioa baada ya kujipata.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Iran yamuonya Trump baada ya mashambulizi mapya ya Marekani

    Nadhani kwa wanayepigana nae kawazidi parefu, Iran anaishia kushambulia vinchi vya Kiarabu hapo ila US ajipigia tu. Hivi Iran hana air defense systems? mabomu kama yanazama tu bila shida yoyote.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Iran yamuonya Trump baada ya mashambulizi mapya ya Marekani

    Urusi na China wanamuuzia silaha zote anozohitaji, vikwazo havimuathiri kihivyo. Iran ilijiandaa kwa vita muda mrefu huku ikitengeneza makombora kama silaha yake kuu ya vita. Kwa tuliyokuwa tunasimuliwa, bado Iran hajaonyesha umwamba wake.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Final product yake haikuwa nzuri, labda abadiike
  14. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Huyu Yanga angetufaa, ni mpiga faulo bora kabisa. Pia ni mfungaji mzuri.
Back
Top Bottom