Recent content by permanides

  1. P

    Baada ya vita ya US - Israel dhidi ya Iran kuisha. Haya ndio yatakayotokea

    Iran inapigika vilivyo, ni anapigania jina na kuonesha yuko imara ila deep down hali ni ngumu. Uwezo wake wa makombora ulikuwa unajulikana , tena tuliambiwa makombora yanafika hadi US. Kitisho kikubwa zaidi ni iliaminika Iran akiguswa itakuwa vita ya dunia, hili halijatokea. US ikiingiza tu...
  2. P

    Toyota Vanguard 2012 inauzwa

    Si useme ni mshangazi kabisa!
  3. P

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Huu uzi ni kama ulianza vizuri ila baadae ukawa na ujinga mwingi. Ukweli ni kuwa, dini zimeleta ubaguzi na mgawanyiko mkubwa katika jamii. Zaidi, dini zote kubwa zilieneo kwa fujo na mauaji, ila angalau Ukristu ulijisahihisha kwenye mambo mengi. Uislam umegoma kubadilika na wakati hivyo...
  4. P

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    l Vingine wala sio makundi ya mtaani bali ushawishi wa online. Hata Chief Godlove naye kuna wakati anagusia matambiko kwenye ishu zake. Heshima inayotolewa kwa wenye fedha na jamii inasababisha watu kutafuta fedha hizo kwa njia yoyote.
  5. P

    Marekani yapanga kupeleka wanajeshi wa ardhini nchini Iran

    Kwa namna Iran alivyoshambulia nchi nyingine hapo Mashariki ya Kati, namna pekee ya nchi hizo kuendelea kumuamini US na base zake, ni kumaliza kitisho chote cha nguvu za Iran.
  6. P

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Sio kweli, sheria ni kali kabisa na majuzi tu imeongezewa ukali.
  7. P

    Wanariadha 10 bora wa muda wote nchini Tanzania

    Mkuu ungebainisha na ushindi waliowahi kupata, kwani kuna ambso ni maarufu kwa kuwa wa mwisho kwenye mashindano
  8. P

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Huo ni utaratibu wa kawaida kwa nchi iliyo vitani na viongozi wake wakubwa kuuliwa, lazima wengine waendelee. Ila kwa nchi ambayo ina migogoro ya ndani pamoja na uzoefu wa kupokea amri kutoka kwa kiongozi mmoja, hii inaweza kuwa na changamoto.
  9. P

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Huyu mzee mbona kama ni mara ya nne anapona kwenye targets za Israel?
  10. P

    Tukipitisha sheria ya kuua au kufunga jela wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja basi haya maeneo yataathirika zaidi

    Sheria ipo hata kabla ya uhuru na kifungo ni kuanzia miaka 30 hadi kifungo cha maisha ikiwa kafanyiwa mtoto. Shida ya utelekelezaji wa kosa hili ni upatikanaji wa ushahidi, kwani ili kuthibitisha ni labda mtu awaone/awarekodi wakifanya au mmojawapo wa watenda kosa akubali kweli alifanya au...
  11. P

    Kwa nini Marekani Itaanguka Vibaya Sana Kwenye Vita ya Iran

    Ni kama ulikuwepo kwenye vikao vya ndani vya USA!
  12. P

    Tetesi za kuuliwa Netanyahu zazidi kushika kasi

    Waziri wa mambo ya nje wa Iran anaulizwa kuwa, Iran ilisema ina makombora yanayofika US, mbona hawayarushi? Anajibu kuwa kushambulia bases za US inatosha kabisa. Hawa watu ni waongo sana.
Back
Top Bottom