Karia ni kirusi kikubwa katika tasnia ya soka hapa nchini. Pamoja na uhuru wa club mwenyeji kuwa na uhuru wa kuchagua uwanja, mechi za derby zichezwe kwenye viwanja vya kueleweka vya hapa bara, tena zichezeshwe na marefa wazawa. Derby pamoja na masuala mengine ya clubs, ina mchango mkubwa katika...
Wafanyabiashara wa Kariakoo wanalihujumu, idea ilikuwa Mchina alete mzigo pale ili watu wasifuate bidhaa China. Wafanyabiashara wa Kariakoo wakapambana ili wazo hili likwame, kwa kuwa bidhaa zikipatikano hapo za kutosha na kwa bei nzuri, biashara za Kariakoo zinakufa kutokana na nyingi...
Hili daraja halina manufaa yoyote ya kiuchumi, ni aheri nguvu zielekezwe kujenga barabara kuitafuta Congo DRC au tuboreshe zaidi barabara za ndani hasa katika maeneo ya uzalishaji.
Huku umeongeza nyanya na vitunguu, kuna tofauti ya kukosa ushindani wa kutosha na rushwa. Kama nukuu zao ziko sawa, hawakugusia chochote kuhusu rushwa.
Chuma cha Mjerumani aliondoka Yanga kwa madai kwa ligi haina ushindani wa kutosha(ingawa mle kulikuwa hakuna kocha).
Kwa wachambuzi waliodai...
Kazi za jeshi, miaka 45 ni karibia miaka ya kustaafu. Kusubiria kuajiriwa ni jambo zuri ila kubwa zaidi ni mazingira yawe sawa ili watu wajiajiri. Ukweli ni kwamba vyuo vinazalisha wahitimu kuliko uhitaji wa soko la ajira, hivyo lazima kuwe na njia mbadala.
Sio kila utafiti ni sahihi. Je hiki kitabu kimemtaja Karume kama kiongozi wa hayo mapinduzi?. Na kama unasema ni kinara kwa sababu baadae alikuwa kiongozi, kwa hiyo same reasoning isitumike kwa Nyerere?
Nimekisoma hiki kitabu hadi ushiriki wa baadhi ya mataifa ya kiarabu nadhani ni Algeria. Ushiriki wa akina Nyerere haujabanishwa moja kwa moja ila kuna hoja zinaibuliwa, na hata hivyo kitabu hicho ni maoni ya mhusika. Swali ni kuwa, pamoja na hayo yote Karume alikuwa kinara wa hayo mapinduzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.