Iran inapigika vilivyo, ni anapigania jina na kuonesha yuko imara ila deep down hali ni ngumu. Uwezo wake wa makombora ulikuwa unajulikana , tena tuliambiwa makombora yanafika hadi US. Kitisho kikubwa zaidi ni iliaminika Iran akiguswa itakuwa vita ya dunia, hili halijatokea.
US ikiingiza tu...
Huu uzi ni kama ulianza vizuri ila baadae ukawa na ujinga mwingi.
Ukweli ni kuwa, dini zimeleta ubaguzi na mgawanyiko mkubwa katika jamii. Zaidi, dini zote kubwa zilieneo kwa fujo na mauaji, ila angalau Ukristu ulijisahihisha kwenye mambo mengi. Uislam umegoma kubadilika na wakati hivyo...
l
Vingine wala sio makundi ya mtaani bali ushawishi wa online. Hata Chief Godlove naye kuna wakati anagusia matambiko kwenye ishu zake. Heshima inayotolewa kwa wenye fedha na jamii inasababisha watu kutafuta fedha hizo kwa njia yoyote.
Kwa namna Iran alivyoshambulia nchi nyingine hapo Mashariki ya Kati, namna pekee ya nchi hizo kuendelea kumuamini US na base zake, ni kumaliza kitisho chote cha nguvu za Iran.
Huo ni utaratibu wa kawaida kwa nchi iliyo vitani na viongozi wake wakubwa kuuliwa, lazima wengine waendelee. Ila kwa nchi ambayo ina migogoro ya ndani pamoja na uzoefu wa kupokea amri kutoka kwa kiongozi mmoja, hii inaweza kuwa na changamoto.
Sheria ipo hata kabla ya uhuru na kifungo ni kuanzia miaka 30 hadi kifungo cha maisha ikiwa kafanyiwa mtoto. Shida ya utelekelezaji wa kosa hili ni upatikanaji wa ushahidi, kwani ili kuthibitisha ni labda mtu awaone/awarekodi wakifanya au mmojawapo wa watenda kosa akubali kweli alifanya au...
Waziri wa mambo ya nje wa Iran anaulizwa kuwa, Iran ilisema ina makombora yanayofika US, mbona hawayarushi? Anajibu kuwa kushambulia bases za US inatosha kabisa. Hawa watu ni waongo sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.