Recent content by permanides

  1. P

    JamiiForums Tanzania Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Ronaldinho ni nabii wa mwisho wa soka, asilinganishwe na vitu vya kijinga
  2. P

    JamiiForums Tanzania Derby kuchezewa Isamuyo kabla ya week kuisha watu wanahamia KMC- Simba na TTF ina viongozi wajinga sana

    Karia ni kirusi kikubwa katika tasnia ya soka hapa nchini. Pamoja na uhuru wa club mwenyeji kuwa na uhuru wa kuchagua uwanja, mechi za derby zichezwe kwenye viwanja vya kueleweka vya hapa bara, tena zichezeshwe na marefa wazawa. Derby pamoja na masuala mengine ya clubs, ina mchango mkubwa katika...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba hajafika kwa bahati ni mwili.

    Umekuwa mshangazi.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Soko la ubungo la Wachina la EACL. Jamani tuache masihara tuna chetu kweli pale?

    Wafanyabiashara wa Kariakoo wanalihujumu, idea ilikuwa Mchina alete mzigo pale ili watu wasifuate bidhaa China. Wafanyabiashara wa Kariakoo wakapambana ili wazo hili likwame, kwa kuwa bidhaa zikipatikano hapo za kutosha na kwa bei nzuri, biashara za Kariakoo zinakufa kutokana na nyingi...
  5. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ingawa Dodoma pamejaa wanawake wanaojiuza, ila ni watamu kuliko Dar

    UTI ni changamoto ndogo, dodoma pana umeme sio kawaida.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Daraja la Dar-Zanzibar kwa PPP litainua uchumi

    Hili daraja halina manufaa yoyote ya kiuchumi, ni aheri nguvu zielekezwe kujenga barabara kuitafuta Congo DRC au tuboreshe zaidi barabara za ndani hasa katika maeneo ya uzalishaji.
  7. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KERO Uchumi wa "Mr" umeyumba, nalea familia mwenyewe, maisha ni magumu sana, natamani kujiua

    Shida kubwa hapa sio mwanaume ila huyo ndugu yako na uzaaji wake. Mwambie ukweli ili naye a
  8. P

    JamiiForums Tanzania Yanga tuwashtaki na Aziz Ki na Shadrack Boka kwa kuichafua team yetu kuhusu matches zetu

    Huku umeongeza nyanya na vitunguu, kuna tofauti ya kukosa ushindani wa kutosha na rushwa. Kama nukuu zao ziko sawa, hawakugusia chochote kuhusu rushwa. Chuma cha Mjerumani aliondoka Yanga kwa madai kwa ligi haina ushindani wa kutosha(ingawa mle kulikuwa hakuna kocha). Kwa wachambuzi waliodai...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Graham Aitaka Udhibiti Kamili wa Hormuz, Akataa Mkataba Wowote na Iran

    Kuna vitu hata kama hujasaini mkataba wa kimataifa bado unabanwa navyo under the customary international law.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Hapa si Gaza hapa ni Bint-Jbeil Lebanon kusini!!

    Ili ugaidi usirudi karibu, Israel asiachie hayo maeneo.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Serikali, taasisi za Serikali na binafsi zilitizame kwa upya suala la umri wa kuingia kazini na kustaafu

    Labda kama unazungumzia manual work, kama ni kazi za utaalam, wa 45 anakupa vitu vingi na uzoefu ukilinganisha na wa 25
  12. P

    JamiiForums Tanzania Serikali, taasisi za Serikali na binafsi zilitizame kwa upya suala la umri wa kuingia kazini na kustaafu

    Kazi za jeshi, miaka 45 ni karibia miaka ya kustaafu. Kusubiria kuajiriwa ni jambo zuri ila kubwa zaidi ni mazingira yawe sawa ili watu wajiajiri. Ukweli ni kwamba vyuo vinazalisha wahitimu kuliko uhitaji wa soko la ajira, hivyo lazima kuwe na njia mbadala.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kibri Kitaangamiza Marekani na Israel

    Sio kila utafiti ni sahihi. Je hiki kitabu kimemtaja Karume kama kiongozi wa hayo mapinduzi?. Na kama unasema ni kinara kwa sababu baadae alikuwa kiongozi, kwa hiyo same reasoning isitumike kwa Nyerere?
  14. P

    JamiiForums Tanzania Trump: Meli itakayolipa ushuru kwa Iran kukamatwa

    Kwa sheria za kimataifa Trump yuko sawa, hilo ni free navigation hivyo hakuna masuala ya kulipia meli hapo
  15. P

    JamiiForums Tanzania Kibri Kitaangamiza Marekani na Israel

    Nimekisoma hiki kitabu hadi ushiriki wa baadhi ya mataifa ya kiarabu nadhani ni Algeria. Ushiriki wa akina Nyerere haujabanishwa moja kwa moja ila kuna hoja zinaibuliwa, na hata hivyo kitabu hicho ni maoni ya mhusika. Swali ni kuwa, pamoja na hayo yote Karume alikuwa kinara wa hayo mapinduzi?
Back
Top Bottom