Recent content by permanides

  1. P

    JamiiForums Tanzania Watu wafupi IQ zao zipo below uwezo wa kufikiria uko chini sana

    Wazee wa kande
  2. P

    JamiiForums Tanzania Vuguvugu la kudai Tanganyika huru linanukia?

    Sio kweli, jina linatokana na ziwa Tanganyika. Walitaka kuipa majina mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, ila wakachagua Tanganyika.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Kama hujajipanga ulipiga kavu ya nini bila tahadhari? hicho chumba kimoja kinawatosha, kwani mmekuwa tembo?!
  4. P

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Anauzaje kwa hekari?
  5. P

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Bei shillingi ngapi?
  6. P

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Dodoma nahitaji eneo la kulima mpunga
  7. P

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Chemba nahitaji heka 40
  8. P

    JamiiForums Tanzania Nimenusurika kuambukizwa HIV usiku wa leo, nimekoma

    Tangawizi imezidi, yaani mtu ambaye amesisitiza vipimo muda wote, afu wakati wa vipimo anaondoka na haulizi chochote?! Tabia ya kulala kwa wanawake mshaonywa msijaribu, wengi hupigwa mjengo kwa tabia hii.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Patrick Vieira Atekuliwa Kuwa Kocha Mkuu Mpya wa Senegal

    Wakati wakiwa vijana wanacheza, huchezea Ufaransa. Ila wakishastaafu, wanataka wapewe kazi za kufundisha huku Afrika kwa kuwa ndio asili yao.
  10. P

    JamiiForums Tanzania FT | Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Ligi ya NBC | Uwanja wa Kaitaba | Kaitaba ni Nyekundu

    Tuko na Doumbia na Mangungu hadi kieleweke.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Naishauri TEC kulitazama upya Jimbo Katoliki la Kondoa kwa jicho la tatu.

    Mkuu vp za siku? Nakuja inbox tuongee ishu moja hivi.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Wanacheza namba ngapi uwanjani?
Back
Top Bottom