Mpemba effect haikuwa wazo jipya. Aristotle hata kabla ya Yesu alieleza kuhusu kitu kinaitwa "antiperistasis" ambacho ni ufafanuzi wa kitaalam wa Mpemba Effect.
Kwenye kwenyewe tumeona Yesu akienda katika sinagogi (nyumba ya ibada). Aidha, mitume na manabii walihimiza kujenga nyumba za ibada, bado huoni umuhimu wa kwenda kanisani.
Nilianza kazi na mshahara kama huo, niliishi kwa hizo posho, japo hazikuwa nyingi, huku nikilinda mshahara. Niliishi katika hali ya kawaida kabisa, na niliweza kufanya uwekezaji kwa kiasi chake. Labda tofauti ni kuwa, mimi nilioa baada ya kujipata.
Nadhani kwa wanayepigana nae kawazidi parefu, Iran anaishia kushambulia vinchi vya Kiarabu hapo ila US ajipigia tu. Hivi Iran hana air defense systems? mabomu kama yanazama tu bila shida yoyote.
Urusi na China wanamuuzia silaha zote anozohitaji, vikwazo havimuathiri kihivyo. Iran ilijiandaa kwa vita muda mrefu huku ikitengeneza makombora kama silaha yake kuu ya vita.
Kwa tuliyokuwa tunasimuliwa, bado Iran hajaonyesha umwamba wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.