Recent content by permanides

  1. P

    Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Wahamiaji haramu, ila Ukristu pia unakuwa kwa kasi Asia kuliko pengine popote.
  2. P

    Kutoka kunibania utamu mpaka kunigeuza ndama

    Mhasubu uwe unatembelea na zile nyuzi zako nyingine
  3. P

    Netanyahu asitisha mpango wa kulipiza kisasi kwa Iran baada ya kukosa sapoti ya Marekani

    Hili zoezi awaachie wadada, lina faida zaidi kwao.
  4. P

    Afrika tutafika lini uwezo huu? Makombora yote hayo ya Iran yamefaulu kumjeruhi binti mmoja tu!

    Hizi nchi zikiungana kumpiga Iran ndani ya wiki vita itakuwa imeisha. Ili kubalance hii habari pia taja nchi ambazo zimeungana na Iran kuishambulia Israel
  5. P

    Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

    Wewe inazungumzia Iran kutest nuclear wakati Israel ana super nuclear imetulia hapo kwake, hizi ni akili za wapi?
  6. P

    Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

    Wewe huelewi tu, Israel kaitafuta hii vita muda mrefu na sasa Iran kajichanganya, subiria majibu.
  7. P

    Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

    Hakuna media iliyozuiwa kufanya kazi, ni ubabaishaji tu.
  8. P

    Iran yaishambulia Israel kwa makombora

    Hata Iran kashambulia kwa kushirikiana na nchi nyingine, Iran ni overrated. Iran alipaswa kujibu lile shambulio la Israel ila je, kwa hili Israel atakaa kimya? sidhani, tusubiri tuone.
  9. P

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Israel ndio alianza kushambulia ubalozi wa Iran, haya ndio majibu ya Iran akisaidiwa na nchi nyingine nne, kikubwa tunasubiri majibu ya Israel yatakuwa yapi!
  10. P

    Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa Waziri Mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika

    Ikiwa hivyo tutaongoza kwa kuwa na Waziri Mkuu asiyekuwa na akili. CCM ina viongozi wengi wazuri tu.
  11. P

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Israel atumie hii nafasi kupiga vile vinu, sijui kwa nini hakuacha baadhi ya makombora yalete uharibifu ili iwe kigezo cha kufanya hivyo.
  12. P

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Waisrael mwenyewe hiyo jana wameonyeshwa wakiendelea na maisha yao kama kawaida
  13. P

    Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

    Kuna siku unakuwaga na ujinga mwingi sana
Back
Top Bottom