Pole sana binti inaonekana anayekukaza hakupatii vzuri mwqnamke anayekunwa abwabwaji hiv
CHADEMA IPI UNAYOIZUNGUMZIA MBONA HATA UCHAGUZI HAIJASHIRIKI LAKN BADO IPO MDOMONI MDA WOTE
HAPO NDIO UJUE CHADEMA N ZAIDI YA CHAMA CHADEMA N MAISHA YA MTANZANIA YA KILA SIKU SERA ZAKE N DAWA NA TIBA...
Ukichagua upande juu ya hii vita itakutesa sana japo binafs nimeshangazwa na Iran kuvimbiana na miamba hii ya kivita
Ama kwel hata bongo tukijipanga vizur tunaweza kumbandua jiran yetu kenya vizur tu
Jimbo n la mtoto wa lukuvi kwan kwa jenista lukuvi na zungu la unga s walisema jimbo la mtoto wa jeni
Bas na isiman n jimbo la mtoto wake marehemu kikubwa azingatie rushwa ndogo isiwe kuuuuuubwaaa
Kama wateja walikuwa wanakuja kwa siku 2 mfululizo kuna jambo hapo halipo sawa labda walikuwa wanajaribu kuona utofaut wa chakula chakona wengine na baadae wakaona n cha kawaida hvyo wameamua kurud walikokuwa wanakula mwanzo
Pili vipi kauli zako na za wafanyakaz wako inawezakana kipengele hicho...
Inawezekana jamaa alikuwa anamnyonĝa had akajinyea
Pili inawezekana jamaa alikuwa anakula kisamvu cha kopo na paipu ilikuwa kubwa had akajinyea
Lakn siku moja akiwa wasafi na masanja alisema hana muda na mapenz na anajitunza
Kwa hyo wewe ndio una intellejensia kal kishinda waliotengeneza hayo makombora
Kama vita ingekuwa rahis hvyo bas NATO na other pro USA wasingekataa ombi la trump kwenda kuifungua homz
Kaka vita n mkakati tu siyo porojo kama Zako hao waajemi usiwachukulie poa kabisa hao kifo kwao n heshima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.