Mi naomba kujua,kwenye hii riwaya Mr.born town anaonekana ni mwamba kwelikweli sasa yule mzee wa mkono wa baunsa kipindi anamponda ule ujasiri aliupata wapi?mana alikua anamponda kweĺikweli adi tukaamini mr.born town haogopewi kabisa na mkono wa baunsa!
Si umuulize tu
Why unataka kufanya mambo yawe makubwa
Just ask her,what is wrong baby?
Akikujibu vibaya hapo ndo utajua sasa kuwa mwenye shida ni yeye na sio wewe!
Pole dear!
Kama wanaweza mfanyia operation hapo baadae na akakaa sawa basi uwe na subira.
Kikubwa punguza mawazo ili umlee mtoto vizuri awe na afya njema!
Mungu akutie nguvu,
Wapenzi wa romance drama kuna hizi nzuri
Just between lovers,
Shooting stars,
Dali and the cocky prince,
Kuna be melodramatic though hii inajikita zaidi na maisha na mambo yake kama huzuni,confusion,kuachwa na kupendana!
Mungu anasema atakupa wa kufanana nawe
Kama jamaa hakupenda mambo ya kutoka usiku au ya starehe why alioa wa hivyo?
Tukifatisha maandiko yanavyosema kwa habari za ndoa mambo kama haya yatapungua sana!
Biblia inasema enyi wake watiini waume źenu,imagine hujamuoa ila wala hakuheshimu unadhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.