The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Ndugu zangu habarini?
Siku hizi imezuka tabia ya watu kuomba pesa hovyo especially ikifikia mwisho wa mwezi.
Yan mtu akisikia una kazi, kila mwisho wa mwezi lazima atengeneze shida.
Tunapenda sana kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini tambueni hata sisi tunaofanya kazi tuna yetu.
Wengine hatupendi kuombaomba sio sababu sina matatizo ila sababu najiheshimu na ninajitambua. Kuombaomba ni tabia mbaya.
Sikatai kuwa kuna siku nawakopa wenzangu lakini ni mara chache sana na hadi nilazimike kufanya hayo.
Mnapoona tupo kimya, msidhani tuna pesa. Tuna madeni lukuki, tuna makodi, tuna mahitaji binafdi, wategemezi nk.
Mtatuchukia bure na kutusababishia tupate dhambi ndogondogo za kudanganya kuwa tumetimuliwa kazini.
Siku hizi imezuka tabia ya watu kuomba pesa hovyo especially ikifikia mwisho wa mwezi.
Yan mtu akisikia una kazi, kila mwisho wa mwezi lazima atengeneze shida.
Tunapenda sana kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini tambueni hata sisi tunaofanya kazi tuna yetu.
Wengine hatupendi kuombaomba sio sababu sina matatizo ila sababu najiheshimu na ninajitambua. Kuombaomba ni tabia mbaya.
Sikatai kuwa kuna siku nawakopa wenzangu lakini ni mara chache sana na hadi nilazimike kufanya hayo.
Mnapoona tupo kimya, msidhani tuna pesa. Tuna madeni lukuki, tuna makodi, tuna mahitaji binafdi, wategemezi nk.
Mtatuchukia bure na kutusababishia tupate dhambi ndogondogo za kudanganya kuwa tumetimuliwa kazini.