Recent content by peacy

  1. peacy

    Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

    Pole sana kwa hayo ila Pia mshukuru sana Mungu amekuepusha na hilo janga hali ingekuwa mbaya zaidi huko kqenye ndoa
  2. peacy

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Unit 1 = 1663 Add 1% Ewura charge
  3. peacy

    Aptitude test ya Alistair group

    Inatakiwa uwe na uwezo wa kufikiri haraka, alafu uwe na sehemu ambayo internet iko fasta, ikiwezekana tafuta mwingine awe karibu, nimefanya mwaka Jana ya Alistair Sent using Jamii Forums mobile app
  4. peacy

    Ninahitaji mchumba wa kumuoa

    Huo ni ubaguzi sisi wenye certificate tutaolewa na nani? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. peacy

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Nimeishia kwenye neno "sight" Sent using Jamii Forums mobile app
  6. peacy

    Mwanza: Rais Magufuli aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la Kigogo - Busisi

    Asante Sana Mheshimiwa Rais sisi Wana Mwanza tupo tayari kabisa kwa mabadiliko hayo!! Tulianzia kamanga, tukaja busisi na sasa umetupa daraja! Kwa jinsi unavyopiga kazi ikiwezekana hicho kipande Cha ziwa ukiminye kabisa kikutane na nchi kavu!! Ni hayo tu
  7. peacy

    Serikali Kuu ya JamiiForums

    Hapo Mimi sijaona mawaziri wa jukwaa mbalimbali ingepndeza sana
  8. peacy

    Kikao changu na makampuni ya simu kuhusu kesi ya kuibiwa vifurushi

    Naomba Jambo hili lifanikiwe bado nina 1.5 gb na dakika kibao halafu eti kifurushi kinaisha saa 12 jion, sio fair kabisa
  9. peacy

    Unatumia sabuni gani kuogea?

    Mimi Niko na Protex naikubali sana
Back
Top Bottom