Inatakiwa uwe na uwezo wa kufikiri haraka, alafu uwe na sehemu ambayo internet iko fasta, ikiwezekana tafuta mwingine awe karibu, nimefanya mwaka Jana ya Alistair
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana Mheshimiwa Rais sisi Wana Mwanza tupo tayari kabisa kwa mabadiliko hayo!!
Tulianzia kamanga, tukaja busisi na sasa umetupa daraja!
Kwa jinsi unavyopiga kazi ikiwezekana hicho kipande Cha ziwa ukiminye kabisa kikutane na nchi kavu!! Ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.