Ni kweli speedaf wanachukua muda mrefu kufanya clearance na sijui ni kwa sababu gani!? Mzigo unaingia mapema nchini lakini unakaa muda mrefu kabla ya kumfikia mteja.
Kuna muda nilikuwa nafikiria kama kungekuwa na jamii inayokunya na isitokunya hali ingekuwaje kwa wanaokunya!?
Maana hivi tumetofautiana kwa rangi ya ngozi na muonekano lakini kuna watu wanajiona wako juu zaidi ya wengine.
Tff na bodi ya ligi ya Tanzania wapo nyuma ya muda na ni slow leaner, wamekaa kizamani sana na hawaendani na mpira wa sasa. Inatakiwa waachie ngazi na wapewe wenye uwezo wa kisasa.
Duh hadi matusi tena! Sina uhakika na hilo ndio kwanza nasikia kwako. Vipi kuhusu hao wamagharibi wanavyoendelea kutuibia malighafi kwa mikataba ya ulaghai na pia wanazidi kudhoofisha uwezo wa waafrika kiuchumi katika nchi za afrika?
Wamagharibi ni waporaji hawatatusaidia chochote zaidi ya kuendelea kutupa umasikini zaidi. Udikteta wa Urusi na China ni mzuri na unawapa maisha mazuri wananchi wake. Tuwaige.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.