Recent content by pax romana

  1. pax romana

    Melchizedek na utata unaomzunguka

    Labda sijaelewa ndugu! Biblia inasema, Ebrania 7:2-3, kuwa TAFSIRI YA JINA LAKE! Siyo kwamba hakuwa na baba wala mama....ila ni TAFSIRI ya jina lake!
  2. pax romana

    Angalia umri wako, upo sahihi, Umekosea, Unahitaji kujirekebisha?!!!

    Bro kimsingi mimi binafsi huwa naelimika sana na makala zako za Jf. Nakushukuru kwa kujitoa kutuelimisha wengi wetu ambao hatuna karama kama yako. Asante sana. Natamani siku moja nikufahamu. [emoji16][emoji16][emoji122][emoji122]
  3. pax romana

    Taja simu unayoikubali sana uliyowahi kuimiliki

    Ya hovyo sana, nilikuwa nayo 2013 ilinizingua, haikubali huduma zote za (* service), mfano, mpesa, tigo pesa! Pia huwezi kupakua app kutoka nje ya "market place" yake km android. Yenyewe inatumia windows! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. pax romana

    Rwanda's Masterful Deception

    Kuna kitabu kinaitwa "Africa World War" kimeandikwa na jamaa anaitwa Daniel Pruner. Ukisoma kile kitabu utakhbaliana na mleta mada hapo juu, huyo jamaa PK aliua wahutu wengi (post genocide cleansing) sana kuliko hata waliokufa wakati wa mauaji ya kimbari. Kale kanchi ni bomu linalosubiri...
  5. pax romana

    TANROADS mnasubiri nini kuweka viziuzi vya barabarani ( pumps ) makutano ya Moshi Arusha, hii ajali ya tatu ndan siku 3

    Makutano ya Moshi Arusha...ndo sehemu gani hiyo aise?? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. pax romana

    Tujifunze ya ndege: Hiki ndicho Kisanduku cheusi (black box) cha mawasiliano kila ndege ipatapo hitilafu au kuanguka huwa kinakitafuta

    Britanica asante sana kwa kutupa chakula cha ubongo nankutongezea maarifa. Ubarikiwe sana mkuu[emoji122] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. pax romana

    Mkwara wa kibabe: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka diplomats wao wanne.

    Ndiye huyo aliyeuawa kwenye "theatre" kama niyakumbuka vyema. Unaweza soma kitabu kinaitwa "The Gideon Spies"
  8. pax romana

    Sasa ni wazi Fatma Karume kuangukia pua kwenye kesi ya madai ya bilioni moja

    Asante kwa kutuelimisha kaka, maana "mazwazwa" wa sheria tumejaa humu! Kazi kuchonga pasipokujua sheria inasemaje! Mihemko kibaoo utadhani chura katumbukia kwenye tanuri ya moto! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. pax romana

    Hiki kibonzo cha King Kinya (The Citizen) kinamaanisha nini Chadema?

    Mbwa kambadilikia bosi wake! Bosi haamini anachokiona (anashangaa), mbwa aliyemfuga na kumfunga kamba shingoni na kumkokota kokote aendako amebadilika!! Sent from my HTC Desire 816 dual sim using JamiiForums mobile app
  10. pax romana

    Kicheko Ni Afya, Njoo Uondoe Stress Hapa Muhimu Kwa Afya Yako

    PresidencyZ: RAIS ZUMA AMEREJEA TOKA ZIARA YENYE MAFANIKIO, JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Brendan Gutzein: MAFANIKIO GANI KWA NCHI YA HOVYO ILE, BADALA YA KUTAFUTA UHUSIANO NA NCHI ZA MAANA!
  11. pax romana

    Huu ndo usingizi wa Kim Jong Un

    Lareki, JF ni nooomaaa[emoji28][emoji28][emoji28]
  12. pax romana

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Kuna nyembe zinauza SH Amon Tsh 40,000/ zinaitwa "gillette fusion" ni nzuri sana! Paka shaving foam wakati wa kunyoa kisha baada ya kunyoa paka "after shave" inaitwa "bump patrol" uataona matokeo! Hizo nyembe waweza kutumia hadi miezi 4, na ukiisha unapachika mwingine! Hope it works out as it...
  13. pax romana

    Hivi ukitoka hesabu ya trilion unaingia ngapi?

    Quadrillion! Hiyo ina sifuri 15!
Back
Top Bottom