Nyerere hakuwa fisadi wa pesa, ila alikuwa fisadi wa madaraka. Kwa katiba hii aliyotuachia inathibiyisha Hilo.
Mzee alikuwa na katamaa Fulani hv, ata kukaa mdarakani miaka 20+ inaonesha tamaa zake. Ni mfano wa viongozi waliokuwa na maneno mengi bila vitendo.
Nadhani timu zinapark basi wakichezi na sisi kwasabb wameshaona weakness yetu ni kulifungua basi na kupata goli. So ni njia moja wapo ya kumzuia Arsenal. Tukicheza na team zinazoplace high na kucheza kama Bayern Huwa tunazifunya sio kwa ugumu saana kama hz zinazoaprk.
Mzee kipele kinawasha?
Acha usese, huyo mama kaua ndugu zetu, kawazika bila staha.
Hakuna atakachofnya tukamuelewa, kama umekunwa na ulajisikia vzuri kaa kimya.
Mzee kipele kinawasha?
Acha usese, huyo mama kaua ndugu zetu, kawazika bila staha.
Hakuna atakachofnya tukamuelewa, kama umekunwa na ulajisikia vzuri kaa kimya.
Etoo ni mjuaji, hili ndio linawacost waafrika wengi. Wanaopata nafasi za maamuzi wengi ni wajuaji, kama Karia.. hawaambiliki wao ndio Kila kitu, inawezekana vipi ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.