Ni hali tata sana kuwapa mamlaka wanasiasa kusimamia jambo la katiba ambalo linagusa uhai wa wananchi kwa miaka 50 ijayo,je wasomi waliosomea maswala ya kutunga sheria na katiba hatuna.
Adhabu ya kunyongwa ni matunda ya mtu aliye vunja she ria ya mauaji.she ria IPO ili ifuatwe so vyombo vya kusimamia khaki vifuatwe na hekima pia itumike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.