Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

hii ndo Bongo boya wewe, kiwe cha kujiuza au cha nini, mwixho wa cku wote kutoka ktk chuo chchte mtatoka na kidegree hcho, af kiwango cha mxhahara chuo hakizngatiwi, ths is bongo xo fanya yko coz ss 2nafanya ye2 UDOM.
 
Hapo wanapaita St social, (samahani kama ntawakwaza watu), hapo kuna mapinduzi ya mavazi, ndipo palikuwa panavaliwa vivazi. Ila kwa sasa nadhani ndio college inayoongoza kwa nidhamu ya mavazi. wanawashinda walimu kwa haiba hapo. Hostel za kumwaga sana, maisha ya hapo ndo ivyo tena, mtu pesaaaaa na watoto wa kishua. ingawa wapo watoto wa wakulima lakini nao wanabadilika wakifika hapo.

Ukiingia eneo hilo heshimu "pavement" usikate njia ukakanyaga nyasi kufuata njia zisizo rasmi, utakinukisha mapema, wako vijana wa SMA-JKT (SINA HAKIKA KAMA BADO WANALINDA ENEO HILO), unaweza kujikuta uapanda na kumwagilia hayo majani, Usimwage maji dirishani, usianike kitu chochote dirishani, utaingia matatani. Hapo ni sosho ndugu!

Acha umbea, hizi tabia za vyuo kudahili division 6 ndio kunasabanisha watu kuongea bila kufanya utafiti
 
Acha umbea, hizi tabia za vyuo kudahili division 6 ndio kunasabanisha watu kuongea bila kufanya utafiti

Pole sana Permanides, hiyo post ilitolewa Tangu 5/2/2012, na wewe taarifa za uanachama wako fb ziko hivi:
Join Date : 18th May 2013
Posts : 158
Rep Power : 376
Likes Received33
Likes Given0

ulichelewa mwaka mzima nyuma ya POST hiyo, By the way; uko mwaka wa kwanza hapo UDOM? Msalimie MLACHA HAHAHAAAAAA! Fanya utafiti kabla ya kukurupuka kaka
 
Faustin bayo wa mtwara anatafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi idara ya sekondari aliyepo manyara, tanga, arusha au kilimanjaro.
Mawasiliano 0785614383
 
Wakuu na mimi nina E E F ya PCB lakini nina A ya Divinity, vipi nitaweza kupata nafasi ya kusoma MD hapo UDOM?
 
jamani mimi nili aply lakini bado sijaona selection, nyie mmeziona wapi?
 
Back
Top Bottom