Mnajidanganya sana kujaza watu ndio ushindi? Hukuona lowasa alikuwa akijaza watu wakati anatafuta wadhamini akiwa ccm lakini mwisho wote akaangukia pua ndivyo itakavyotokea tr25
Lowasa sio bora hata wizara yoyote kwa nini apewe nchi wakati hana uwezo pote alipopita ameacha tuhuma za pesa yeye macho yake ni kuangalia ziko wapi pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.