Recent content by paul..com

  1. P

    UKAWA nendeni Mahakamani kesho 15/10/2015

    Lowasa wakati anaanza kampeni alisema tupige kula twende mengine tumwachie yeye sasa kageuka anaona atapigwa chini
  2. P

    Kwa mikoa hii Tisa Lowassa anaingia Ikulu

    Hayo ni mawazo yako
  3. P

    Ahadi za Rais Joseph Pombe Magufuli awamu ya tano, 2015 hadi 2020

    Hawa ni watu wa ukawa wajue hawawezi kuchukua nchi hata waseme je kula ni kwa magufuli
  4. P

    Edward Lowassa akumbwa na mkasa

    Wako wapi waadilifu pesa za luzuku v ni shidaaa
  5. P

    Wanasoka wasema Kura zao wanampa Magufuli

    Kelele za nini matusi ya nini subilini tar25 kula hukomesha mashindano
  6. P

    Matokeo ya Lowassa kujiunga CHADEMA

    Mnajidanganya sana kujaza watu ndio ushindi? Hukuona lowasa alikuwa akijaza watu wakati anatafuta wadhamini akiwa ccm lakini mwisho wote akaangukia pua ndivyo itakavyotokea tr25
  7. P

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Hivi mbona hamuelewi vipi ninyi watu mnapoteza kura zenu kwa huyo mpe mchapa kazi
  8. P

    CHADEMA kumburuza Dk. Magufuli kortini

    Hata lowasa anatumia aleselema ya magufuli
  9. P

    Kwa ahadi hizi za CCM 2016 Tanzania itakua zaidi ya Marekani kiuchumi

    Hayo ni yako umeyaonqeza mana huipendi ccm ss tunampa tuu huuyo
  10. P

    Magufuli aahidi kugawa hela kila kijiji, kila mtaai

    Anayosema ni kweli atawabana mafisadi hawataiba pesa itakuwepo
  11. P

    Kingwendu ndio chaguo la Kisarawe

    Bunge la kutunga sheria na kuisimamia serkali wakiingia wachekeshaji kama hawa sijui
  12. P

    Magufuli ni bora kuliko wagombea wote wa urais

    Lowasa sio bora hata wizara yoyote kwa nini apewe nchi wakati hana uwezo pote alipopita ameacha tuhuma za pesa yeye macho yake ni kuangalia ziko wapi pesa
Back
Top Bottom