Mikoa hiyo Ni Dar es Salaam.. Mbeya... Mwanza... Arusha.. Morogoro.. Tanga.. Kagera.. Tabora na Dodoma
Source :Mwananchi
Mikoa hiyo Ni Dar es Salaam.. Mbeya... Mwanza... Arusha.. Morogoro.. Tanga.. Kagera.. Tabora na Dodoma
Source :Mwananchi
Kwa dar es salaam eneo ambalo Lowasa ana ngome ya wapiga kura anaoweza kuwaamini ni KIMARA.Mtafiti yeyote ruksa kuthibitisha hilo.Kimara ni sehemu ndogo mno ya wakazi wa Dar es salaam ambayo haimpi ushindi hats afanyaje Dar es salaam
tupeni statistical data ambazo ziko very vivid kuwa hiyo mikoa yote tajwa hapo juu wananchi wake ni wana ukawa tu pekee na hakuna wana ccm wowote huko. tuache kufikiria kiuenyeji / kiuchawi kama siyo kishirikina au kutumika kisiaa na badala yake let us be too scientific. mwanachi niliowajua kwa miaka 7 iliyopita siyo mwanachi hii niliyoiona kuanzia mwezi march hadi sasa au leo 15, october 2015 na nisifiche kwa sasa silitofautishi hilo gazeti na yale magazeti ya pale bamaga mkabala na petrol station ya tsn.
Mikoa hiyo Ni Dar es Salaam.. Mbeya... Mwanza... Arusha.. Morogoro.. Tanga.. Kagera.. Tabora na Dodoma
Source :Mwananchi
Siyo kimara tu,hata temeke wote ni ukawa hakuna mwana ccm huku
Siyo kimara tu,hata temeke wote ni ukawa hakuna mwana ccm huku
tupeni statistical data ambazo ziko very vivid kuwa hiyo mikoa yote tajwa hapo juu wananchi wake ni wana ukawa tu pekee na hakuna wana ccm wowote huko. tuache kufikiria kiuenyeji / kiuchawi kama siyo kishirikina au kutumika kisiaa na badala yake let us be too scientific. mwanachi niliowajua kwa miaka 7 iliyopita siyo mwanachi hii niliyoiona kuanzia mwezi march hadi sasa au leo 15, october 2015 na nisifiche kwa sasa silitofautishi hilo gazeti na yale magazeti ya pale bamaga mkabala na petrol station ya tsn.
Labda Upo Temeke Gani Mkuu??Eti Hakuna Ccm Mimi Ni Nani?