CHADEMA kumburuza Dk. Magufuli kortini

CHADEMA kumburuza Dk. Magufuli kortini

mnatia aibu ccm, yan mgombea wenu amebakiza kupaka nywele zake rangi nyeupe, alaf pia ajiite LOWASA jr.
hyo n dalili tosha ya kuonyesha kushindwa

Ikiwa mijitu inashindwa kubuni jambo dogo km Logo...watawezaje kubuni mambo ya maana yakubadilisha hili TAIFA uchaguzi wa Mwaka huu utawafanya wale wasiojua kwanini nchi hii kwa miaka yote Japokuwa tuna misitu lkn watt wa shule bado wanakaa kwenye Vumbi
 
Haina haja ya kwenda mahakamani hawa watu inaatakiwa washitakiwe kwa wananchi ambao watatoa maamuzi yao october 25
Tumeshafanya maamuzi mkuu, tunaisubiri Tume ya Uchaguzi ithibitishe. CCM wako hoi kila mahali hadi wanatia huruma. Nilikuwa njiani natoka Mugumu Serengeti kuelekea Tarime, Wakuria wameamua. Mgodi wa Nyamongo (Accacia Gold Mine) ndio fimbo yao Kuu ya kuiadhibu ccm. Aroo mura sisi hatutaki Makufuri tunataka Masai. Siku yakupiga kura kama hujui kusoma ankaria tu jamaa renye kichwa cheupee piga v pare.
 
Magamba yameishiwa hoja na hayana ubunifu. kila siku yanafikiria kuiba mbinu za UKAWA na kuzitumia kujinasua kutoka wimbi la kuzama katika bahari ya kisiasa. Magamba ni wafu wanaosubiri maziko tarehe 25, oktoba.
 
mnatia aibu ccm, yan mgombea wenu amebakiza kupaka nywele zake rangi nyeupe, alaf pia ajiite lowasa jr.
Hyo n dalili tosha ya kuonyesha kushindwa

mkuu umemaliza kila kitu. Wataiga hadi rangi ya bendera na magwanda. Wavue tu magamba yao na kuvaa magwanda, wapuuzi wakubwa!
 
Kulikuwa hamna haja ya kumburuza mahakamani, wacha ajiaibishe mwenyewe na kuinadi chadema.

Mambo ya kumpeleka mahakamani ni kumpa kick huyu kilaza.
 
Mahakamani ni hatua nzuri ila nakuhakikishia hata huko mahakamani itakuwa ni blablaa tu. Katika nchi za kiafrika chama dola huweza kufanya chochote bila hatua za maana kuchukuliwa.

Ni sawa kafungueni pia mfungulieni Bulembo mashtaka ya kusema kuwa hawatafanya kosa kuuruhusu upinzani kuingia ikulu kama nilimwelewa vizuri. Haya aliyasema huko Kigoma wanakofanya kampeni za mgombea wao Magufuli.Ni lazima akatolee ufafanuzi mahakamani kwani siisikii hata tume ya uchaguzi ikikemea hili. Hofu yangu tu ni kuwa hiyo kesi itatajwa baada ya uchaguzi na hukumu baada ya miaka kumi tena wala sio kwa kuupa ukawa ushindi.
 
jamani hivi ilani (party manifesto) ya chadema ni ipi? Mie nimefuatilia kwenye mikutano sijamkia mgombea wao akiielzea ilani ya chadema
Mgombea wao hawezi kuongelea ilani ya chama maana hata hajui kwa sababu hajakaririshwa.
kama maneno mengine anaongea kama vile analazimiahwa
 
WATAFUNGWA WAO; NA WAJE MAHAKAMANI


  1. M4C - Chrome Plated Cap-O-Matic Space Pen - Fisher Space Pen Co.
    M4C - Chrome Plated Cap-O-Matic Space Pen Style: Cap Activation Finish: Chrome Plated Length: 5.375" Cartridge: Fisher PR4 Black ink Medium point. Packaging: Gift Pack Box. The M4C in its case.

Ni mwendawazimu pekee anayeweza kujivunia jambo la kucoppy kwa jirani, hii inaonesha ccm imezidiwa kila idara. Maccm yamechoka kufikiri yanacopy kila kitu na hayafai kupewa uongozi tena wa taiga hili linalohitaji akili inayojitegemea katika kuibua na kubuni njia mbalimbali za kuleta maendeleo.
 
Back
Top Bottom