Wakubwa habarin.....mimi nimehitimu chuo kikuu dar es salaam mwaka 2012 kisha nikagekia kwenye kufanya biashara kwa kipindi chote hicho....sasa nimejitathimini nakuona kuwa nahitaji kurudi kundini yaani kuwa mwalimu.....sasa ulizo langu kwenu ni hivi, nitawezaje kurudi kwenye ualimu???...na pia...
....hii murema na tlp yake ni burudani kabsaaaa...basi kama umbwai mbwai tuuu,,-wamemwaga mboga basi murema mwaga ugali kabsaaaa... kubwa la maadui au nduli la ccm hilo
Wewe akili mgando kweli....kenya unaifahamu vizuri kweli???
Ni bora ukataliwe waziwazi kuliko wanavyofanya hawa jamaa...yaani unazibwa pumzi na unakufa kimyakimya...
#KilaMtuKwo ....
Siasa si vita hata usimsaidie adui wako ajapo na shida....
Siasa ni upendo kujaliana kwa kila hali na pia siasa ni hoja tu hivyo sioni ubaya wa wewe mwanachama wa cdm kumpa maji mwenye kiu ccm....CHADEMA HOYEEEEE
Mshenzi sana huyu jamaa 「Albert msando」ni diwani wa kata yangu pale mabogini pili ni jirani yangu alikuwa ni roll model wa vijana wengi pale kijiji na alikuwa mstari wa mbele sana kutoa msaada wa hali na mali pale alipohitajika kufanya hivyo....hata alipotangaza azima yake ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.