Nmemshauri ivo pia lakini anataka asubirie kwenda chuo akiwa shuleni,
Mimi navojua ukienda kuripot form 5 hutochaguliwa chuo maana necta watakua wamekuweka kweny mifumo yao na hivo huwez wekwa na kweny mifumo ya nacte tena.....
Ila hapa kila MTU ananipinga nikaona niwaone wataalamu..
Kuna dogo amechaguliwa kwenye hizi post za form 4 kwenda njoss, lakin pia aliApply nacte coz ya clinical medicine kwa hiyo anasubiri majibu NACTE.
Kwa kua akichaguliwa chuoni masomo ataanza mwezi Wa 10 ameona ni bora aende kulipot uko shule ya njoss alikochaguliwa ili aendelee na masomo ya A...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.