Recent content by patrick mpwenku

  1. patrick mpwenku

    Naomba ufafanuzi wa haya kuhusu NECTA na NACTE

    Nashukuru sana mkuu kwa kuniamsha.
  2. patrick mpwenku

    Naomba ufafanuzi wa haya kuhusu NECTA na NACTE

    Nmemshauri ivo pia lakini anataka asubirie kwenda chuo akiwa shuleni, Mimi navojua ukienda kuripot form 5 hutochaguliwa chuo maana necta watakua wamekuweka kweny mifumo yao na hivo huwez wekwa na kweny mifumo ya nacte tena..... Ila hapa kila MTU ananipinga nikaona niwaone wataalamu..
  3. patrick mpwenku

    Naomba ufafanuzi wa haya kuhusu NECTA na NACTE

    Kuna dogo amechaguliwa kwenye hizi post za form 4 kwenda njoss, lakin pia aliApply nacte coz ya clinical medicine kwa hiyo anasubiri majibu NACTE. Kwa kua akichaguliwa chuoni masomo ataanza mwezi Wa 10 ameona ni bora aende kulipot uko shule ya njoss alikochaguliwa ili aendelee na masomo ya A...
  4. patrick mpwenku

    I phone 6 plus naomba bei za hizi simu

    anaejua bei za I phone 6 plus naomba aniambie hapa wadau.
  5. patrick mpwenku

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    RSA maana yake nini
Back
Top Bottom