Mwenye Bei nzuri ya IPhone 6 Plus aziweke hapa

Mwenye Bei nzuri ya IPhone 6 Plus aziweke hapa

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
1,286
Reaction score
488
Katika pita pita yangu kwenye mitandao. Nmeona kuwa ukiwa USA water za ipata Unlocked IPhone 6 Plus kwa $550.

Cha kushangaza, nlipopita baadhi ya Maeneo hapa Bongo nmezikuta zikiuzwa kwa Bei ya $1120 yenye 16GB.

Mwenye Kujua sehemu ambayo iko cheap atuwekee hapa pamoja na Bei yake tafadhali.

Asante.
 
Bei ya iphone 6+ ipo arround 1.8 kuendelea
 
Iphone 6 plus 128gb bei yake 2,347,500
Iphone 6 plus 64gb bei yake 2,097,500
Iphone 6 plus 16gb bei yake 1,747,500; hizi ni bei za dukani kwangu
 
Iphone 6 plus 128gb bei yake 2,347,500
Iphone 6 plus 64gb bei yake 2,097,500
Iphone 6 plus 16gb bei yake 1,747,500; hizi ni bei za dukani kwangu

little bit fair.

vodashop n tigoshop ni worse.
 
Umeona ee wabongo wanatuuzia kwa bei ya juu sana afu pia kuna hawa watu wanaojifanya wako nje ya tanzania wengine wapo U.K pamoja na Cairo sijui egypt wanadai wanaziuza kwa US $500 na ukinunua mbili wanakupatia moja ya bure, sio matapeli
kweli?
 
Nahitaji iphone 6 plus ya 128GB how much doest it costs?
 
Umeona ee wabongo wanatuuzia kwa bei ya juu sana afu pia kuna hawa watu wanaojifanya wako nje ya tanzania wengine wapo U.K pamoja na Cairo sijui egypt wanadai wanaziuza kwa US $500 na ukinunua mbili wanakupatia moja ya bure, sio matapeli
kweli?
  • Ni matapeli kweli.
  • Usijaribu kutuma fedha yako
 
Bei za iPhone bila tax kwa US ni kama hivi;

iPhone 6+: 749$ (16GB), 849$ (64GB), 949$ (128GB)...

iPhone 6: 649$ (16GB), 749$ (64GB), 849$ (128GB)
 
Back
Top Bottom