Recent content by patrick fimbo

  1. P

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Unaniogopesha sana maana nina mnyamwezi na yuko powa tu. Mwaka wa 3 sasa
  2. P

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Unaniogopesha sana maana nina mnyamwezi na yuko powa tu. Mwaka wa 3 sasa
  3. P

    Picha: Msichana aliyeuawa na mwanafunzi wa SUA

    R.I.P Ila mtoa post neno " KIFAA " Hapana halipendezi. Tumwombee apumzike kwa amani.
  4. P

    Wema na Diamond ndio habari ya mjini leo

    Nafurahia kuwaona pamoja. Inapendeza sana Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
  5. P

    Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda

    Kila lililo jema na liwe kwa walio wema. Ndugai na wenzio mwenyezi mungu anawaona.
  6. P

    Rais ajaye wa JMT baada ya Mhe.Dr John Joseph Pombe Magufuli kumaliza muda wake wa miaka 5 au 10

    Atakuwa Rais wa kwanza kuobwa aendelee kuongoza baada ya kipindi chake cha miaka 10
  7. P

    Jinsi Makonda alivyozishinda vita ambavyo hakuna aliyewahi kushinda

    Kila lenye mwanzo lina mwisho pia tusubili tuone mwisho wake.
  8. P

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Nawe ungekaa kimya kusubili majibu ya serikali huna kipawa cha kuwaelewesha watanzania kutokana na maoni yako binafsi. Kaa kimya subili majibu ya serikali. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. P

    Nipo kwenye giza, nikimuomba tuwe wachumba ananizungusha

    Sasa bwana kidheha kama ni miaka 2 wanini sasa huko kikubwa hama na hamia kwingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. P

    Naomba kujua Salimu Mwalimu yuko wapi, kimya kimezidi.

    Atasemea wapi ila mda ukifika mtamwona tu na moto wake uleule hayo mengine yote ni figisu figisu tu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. P

    Yanga washusha beki kutoka Congo,ni Kayembe Kanku Fiston wa Sanga Balenge!!

    Tunatisha Sent using Jamii Forums mobile app
  12. P

    Namuona Edgar Devis kwenye damu ya Pappy Tshishimbi

    Vijana walitisha sana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom