Hamia kwingineKuna mdada nampenda sana ila kila nikimuomba akubali kuwa mchumba wangu nije kumuoa ananizungusha tu...Hakubali wala kukataa anasema nimpe mda atafakari...huu mwaka wa pili ananiambia bado hajapata muda...Ananipenda kweli au nihamie kwingine?
Vipu Ingekua wewe,Ungefanyaje?Kweli una upendo wa kweli. Endelea kusubiri tu mpaka atapokubali
Miaka miwili nafukuzia tu mbunye maserati? Mi nisingeweza uwa sina tabia za kupeVipu Ingekua wewe,Ungefanyaje?
Hahahahaha Mkuu unaonekana hujui kutongoza kabisaKuna mdada nampenda sana ila kila nikimuomba akubali kuwa mchumba wangu nije kumuoa ananizungusha tu...Hakubali wala kukataa anasema nimpe mda atafakari...huu mwaka wa pili ananiambia bado hajapata muda...Ananipenda kweli au nihamie kwingine?